EMS au Posta kawaida

EMS au Posta kawaida

Huck

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2014
Posts
201
Reaction score
85
Wadau ni njia ipi ya uhakika ya kutuma barua za kuomba kazi kati ya EMS na posta kawaida,

Naombeni ushauri!
EMS ni Huduma ya Posta pia Ambayo yenyewe huwa ina malipo makubwa ukilinganisha na huduma nyingine ya kawaida

Hhuduma ya kawaida barua inaweza kutumia hadi miezi miwili lakini EMS Kwa sehemu ambazo zina Viwanja vya Ndege barua hufika haraka na hata sehemu ambayo haina usafiri wa Ndege EMS husafirisha barua/vifurushi hivyo kwa haraka zaidi

Ila ukitumia njia ya Kawaida ya kulipia sh.500 barua yako ya maombi ya kazi inaweza kufika wakati wenzio wameshaanza kazi.
 
Mkuu zote ni njia ila msingi ni kuangalia hapo unapotuma ombi lako wameku shauri utumie njia ipi maana kuna sehemu nyingine hawapokei Ems wanataka mbadala so zingatia tangazo lao wanahitaji njia ipi.
 
EMS ni Huduma ya Posta pia Ambayo yenyewe huwa ina malipo makubwa ukilinganisha na huduma nyingine ya kawaida

Hhuduma ya kawaida barua inaweza kutumia hadi miezi miwili lakini EMS Kwa sehemu ambazo zina Viwanja vya Ndege barua hufika haraka na hata sehemu ambayo haina usafiri wa Ndege EMS husafirisha barua/vifurushi hivyo kwa haraka zaidi

Ila ukitumia njia ya Kawaida ya kulipia sh.500 barua yako ya maombi ya kazi inaweza kufika wakati wenzio wameshaanza kazi.
 
ninavofahamu EMS-express mail service, ni njia yenye gharama kidogo na iko faster,unaweza ukatuma leo baada ya siku moja ikawa imefika, ila kwa kutuma kwa njia ya kawaida ya stamp za 1200 sijajua barua inachukua muda gani kufaka, labda kwa anaefahamu atujuze,
 
kwa ems utafilisika bora utumie njia ya kawaida coz tofauti ni siku moja au mbili
 
Hata mimi huwa ninapata utata kuhusu suala hili. Maana maombi yangu ya kazi huwa hayajibiwi na huwa natuma kwa EMS.
 
Hata mimi huwa ninapata utata kuhusu suala hili. Maana maombi yangu ya kazi huwa hayajibiwi na huwa natuma kwa EMS.
EMS ndo njia ya uhakika na ya haraka zaidi. Lakini, kama kwenye tangazo waliandika kuwa hand delivery is not accepted,then barua yako haitakubaliwa kwa sababu unapotuma kwa EMS barua hufikishwa kwa mkono pia(hand delivery).
 
ninavofahamu EMS-express mail service, ni njia yenye gharama kidogo na iko faster,unaweza ukatuma leo baada ya siku moja ikawa imefika, ila kwa kutuma kwa njia ya kawaida ya stamp za 1200 sijajua barua inachukua muda gani kufaka, labda kwa anaefahamu atujuze,

Oyooo babu mia wanakuibiaga
 
ninavofahamu EMS-express mail service, ni njia yenye gharama kidogo na iko faster,unaweza ukatuma leo baada ya siku moja ikawa imefika, ila kwa kutuma kwa njia ya kawaida ya stamp za 1200 sijajua barua inachukua muda gani kufaka, labda kwa anaefahamu atujuze,

Ndugu nimetuma Barua Mda Mrefu lakini EMS bei yake nahisi ni Tshs. 10,400/= Urahisi uko wapi?
 
kwa barua ya EMS ndani ya nchi ya Tanzania yenye uzito wa awali (gm 500) ni tshs 11,100 bila VAT (18%). with VAT ni tshs 13,098 approx 13,100/=.
barua ya kawaida uzito wa awali ni shs 600/economy na priority ni shs 1000/=.
Ukituma barua kutoka hapa Iringa hadi dsm inafika the next day(one day). Uzuri wa EMS mtumiwa anapelekewa na atasaini kukiri mapokezi. Hii inamsaidia mteja mtumaji kuwa na uhakika 100% wa barua yake au application yake kupokelewa.
Barua ya kawaida ni cheap sana lakini huna wa kumuuliza. hata ikipotea huna pa kuanzia. watatupiana mpira kati ya Posta na uliyemtumia. Na kwa vijana wa siku hizi na miandiko yao ya swagga ni rahisi barua ya kawaida kukosewa box. Mfano: box 23 dsm ukikosea ukaandika box 32 hiyo inaingizwa box 32 badala ya 23.
suluhisho ni shirika la posta kuboresha mfumo wa Postcodes kama wenzetu zambia, kenya South africa.
 
kwa barua ya EMS ndani ya nchi ya Tanzania yenye uzito wa awali (gm 500) ni tshs 11,100 bila VAT (18%). with VAT ni tshs 13,098 approx 13,100/=.
barua ya kawaida uzito wa awali ni shs 600/economy na priority ni shs 1000/=.
Ukituma barua kutoka hapa Iringa hadi dsm inafika the next day(one day). Uzuri wa EMS mtumiwa anapelekewa na atasaini kukiri mapokezi. Hii inamsaidia mteja mtumaji kuwa na uhakika 100% wa barua yake au application yake kupokelewa.
Barua ya kawaida ni cheap sana lakini huna wa kumuuliza. hata ikipotea huna pa kuanzia. watatupiana mpira kati ya Posta na uliyemtumia. Na kwa vijana wa siku hizi na miandiko yao ya swagga ni rahisi barua ya kawaida kukosewa box. Mfano: box 23 dsm ukikosea ukaandika box 32 hiyo inaingizwa box 32 badala ya 23.
suluhisho ni shirika la posta kuboresha mfumo wa Postcodes kama wenzetu zambia, kenya South africa.
Ok,nimekupata
 
Ems ni njia y uhakika, ya haraka na salama,

Kwa malipo ya shilingi elf 15 utapewa risiti ya uthibitisho wa malipo na tracking number itayokuwezesha kujua barua yako imefika wapi, barua za kawaida huzina tracking number

Ni njia ya haraka sana, kwa Mimi ambae nipo mbeya gari la ems linaondokaga na barua za ems saa tano asubuhi na linafikisha barua dar es salaam siku hiyo hiyo, kwa barua za kawaida zinaweza kuchukua mwezi au zaidi

Barua inapofika tu itapelekwa kwenye ofisi husika uliyoiandikia barua kwa njia ya pikipiki za ems, ni tofauti ni barua za kawaida inabidi ofisi uliyoandikia barua ikafuate barua posta

Ni hayo tu, kupata kazi inabidi ujitume kwenye utafutaji na uombaji, Ems ni Huduma effective
 
Ems ni njia y uhakika, ya haraka na salama,

Kwa malipo ya shilingi elf 15 utapewa risiti ya uthibitisho wa malipo na tracking number itayokuwezesha kujua barua yako imefika wapi, barua za kawaida huzina tracking number

Ni njia ya haraka sana, kwa Mimi ambae nipo mbeya gari la ems linaondokaga na barua za ems saa tano asubuhi na linafikisha barua dar es salaam siku hiyo hiyo, kwa barua za kawaida zinaweza kuchukua mwezi au zaidi

Barua inapofika tu itapelekwa kwenye ofisi husika uliyoiandikia barua kwa njia ya pikipiki za ems, ni tofauti ni barua za kawaida inabidi ofisi uliyoandikia barua ikafuate barua posta

Ni hayo tu, kupata kazi inabidi ujitume kwenye utafutaji na uombaji, Ems ni Huduma effective
weweeeee EMS na barua za kawaida zinaondoka kwa usafiri mmoja,isipokuwa EMS wanafikisha barua hadi ofisini ila njia ya kawaida wanaweka barua ktk sanduku la ofisi husika mpaka wenyewe kutoka ofisin waifate,neno express linamaanisha kama barua inatoka mbeya kwenda dar,zikipokelewa zote zile za EMS zinasambazwa maofisini siku hyohyo hata kwa pikipik,then za kawaida zinapelekwa ktk masanduku husika
 
weweeeee EMS na barua za kawaida zinaondoka kwa usafiri mmoja,isipokuwa EMS wanafikisha barua hadi ofisini ila njia ya kawaida wanaweka barua ktk sanduku la ofisi husika mpaka wenyewe kutoka ofisin waifate,neno express linamaanisha kama barua inatoka mbeya kwenda dar,zikipokelewa zote zile za EMS zinasambazwa maofisini siku hyohyo hata kwa pikipik,then za kawaida zinapelekwa ktk masanduku husika
Ni kweli kabisa ulichokisema, ila huyo jamaa alitaka kuwalisha watu matango pori

Sent using Jamii Forums mobile app
 
weweeeee EMS na barua za kawaida zinaondoka kwa usafiri mmoja,isipokuwa EMS wanafikisha barua hadi ofisini ila njia ya kawaida wanaweka barua ktk sanduku la ofisi husika mpaka wenyewe kutoka ofisin waifate,neno express linamaanisha kama barua inatoka mbeya kwenda dar,zikipokelewa zote zile za EMS zinasambazwa maofisini siku hyohyo hata kwa pikipik,then za kawaida zinapelekwa ktk masanduku husika
True

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom