EMS au Posta kawaida

EMS au Posta kawaida

Ems ni njia y uhakika, ya haraka na salama,

Kwa malipo ya shilingi elf 15 utapewa risiti ya uthibitisho wa malipo na tracking number itayokuwezesha kujua barua yako imefika wapi, barua za kawaida huzina tracking number

Ni njia ya haraka sana, kwa Mimi ambae nipo mbeya gari la ems linaondokaga na barua za ems saa tano asubuhi na linafikisha barua dar es salaam siku hiyo hiyo, kwa barua za kawaida zinaweza kuchukua mwezi au zaidi

Barua inapofika tu itapelekwa kwenye ofisi husika uliyoiandikia barua kwa njia ya pikipiki za ems, ni tofauti ni barua za kawaida inabidi ofisi uliyoandikia barua ikafuate barua posta

Ni hayo tu, kupata kazi inabidi ujitume kwenye utafutaji na uombaji, Ems ni Huduma effective
Mkuuu barua zote huondoka pamoja tofauti ems wana deliver office uliotuma na kawaida wanaweka kwenye sanduku la posta
 
Back
Top Bottom