TUPAC WA MWAKALELI
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 354
- 109
EMMANUEL MBASHA AACHIWA KWA
DHAMANA!
Muimbaji wa dini, Emmanuel Mbasha (ambaye ni
mme wa Flora Mbasha) anayekabiliwa kwa kesi ya
ubakaji, ameachiwa kwa dhamana na kesi itatajwa
tena julai 17.
Emmanuel Mbasha amefikishwa leo mahakama ya
Ilala na kupatiwa dhamana hiyo baada ya kutimiza
masharti yaliyohitajika.
Bwana Emmanuel Mbasha alifikishwa mahakamani
hapo kwa shitaka la kumbaka msichana mwenye
umri wa miaka 17 anayedaiwa kuwa shemeji yake
DHAMANA!
Muimbaji wa dini, Emmanuel Mbasha (ambaye ni
mme wa Flora Mbasha) anayekabiliwa kwa kesi ya
ubakaji, ameachiwa kwa dhamana na kesi itatajwa
tena julai 17.
Emmanuel Mbasha amefikishwa leo mahakama ya
Ilala na kupatiwa dhamana hiyo baada ya kutimiza
masharti yaliyohitajika.
Bwana Emmanuel Mbasha alifikishwa mahakamani
hapo kwa shitaka la kumbaka msichana mwenye
umri wa miaka 17 anayedaiwa kuwa shemeji yake