Ni ndefu mkuu,c unajua haya mambo yanakuaga na Theory nyingi
Ni Kama issue ya Michael Jackson tu watu wanasema ilikua anataka ku expose ukweli wote kwenye show yake ile ya mwisho jamaa wakamuwahi ,
Wengine wanadai walikua washamalizana nae so wakaona hana umuhimu Tena kwao wakammaliza,
Wengine wanasema ilikua lazima wamuuwe coz mfalme wa Pop hawezi kuwa Black... that why hata baada ya kufa wameendelea kukandamiza kazi zake na kuibua kashfa /scandals zake kibao
So na Eminem nae anamastori yake behind the scenes kibao ikiwemo Ugomvi na mama yake,. Japo alimuomba msamaha kwenye Cleaning out my closet na Headlights,
Ugomvi na mkewe Kim/mzazi mwenzake kamtukana sana huyu kwenye nyimbo zake ikiwemo Mockingbird na Mariah Carey nk
Hadi kuingia kwenye cocaine,rehab yake nk.
But all in all huyu jamaa ni mkali sana kama anavoitwa Rap God so Kuna nguvu inamuhofia endapo hata kuwa upande wanaotaka awe,
So Kuna undercover stories kibao Mkuu.