Eminem is overrated, yes I said it

Eminem is overrated, yes I said it

Mimi nimekuwa namsikiliza Shaddy tokea 90's na nilivyoona huu uzi nikasema Hiiiiiiiiiiiiiii (In Magu's Voice).
Haahahaha, huu mimi huwa naita utovu wa nidhamu kabisa, Shady ametoka kimuziki kipindi ambacho HipHop was predominantly Black na ushindani uko juu vibaya sana.

Ukigeuka huku kuna The Wu-tang Clan, huku kuna Ll Cool J, huku kuna NAS na Jay -Z, huku the Roots (Kina Black Thought), Talib Kweli, Mos Def, yaani gemu gumu lakini Shady akatoboa. Sasa naona bwana mdogo kaamua kabisa kumvunjia The Rap god heshima.
😂😂
Hana ABCs zozote kuhusu shady namziki wa hip hop wa kipindi hicho..unaeza kuta mwanzisha uzi Ni Wa kipindi Cha kina young lunya...
 
😂😂
Hana ABCs zozote kuhusu shady namziki wa hip hop wa kipindi hicho..unaeza kuta mwanzisha uzi Ni Wa kipindi Cha kina young lunya...
Mazee HipHop ya zamani ilikuwa ina ushindani mkubwa, na ukiona mtu katoboa miaka ya 90's tena mweupe basi fahamu kwamba jamaa ana kipaji sana. Miaka hiyo Eminem anatoka Rappers weupe walikuwa wanahesabika sana, nakumbuka waliokuwa wanatisha walikuwa ni Vinnie Paz wa Jedi MindTricks na B-Real wa Cypress Hill ambaye naye alikuwa ni Half-Cast.

Ukisiliza muziki wa Shady hata uwe mtu mweusi lazima ukae chini na kufikiri mara mbili-mbili, uimbaji wake ulikuwa Too Rebellious 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 yaani jamaa alikuwa anakufuru kama alivyokuwa anafanya Notorious, na alikuwa anatumia Poetic License vizuri sana. Shady is just Shady man!!!!
 
Ni msanii bora wa decade 2000s ...
Kashinda tuzo zaidi ya Mia 52 ukijumuisha na Oscar moja ya tuzo kubwa na ya heshima duniani lakini hakwenda kuchukua ...alikuwa busy watching cartoon with his daughter Hailey..
Kuanzia 200-2010 the best selling artist akiwapiku the Beatles,Ameuza nakala nyingi kuliko pop artist yeyote...(najua unajua kuwa pop Ni mziki pendwa zaidi duniani.
Katika best selling solo artist anashika namba sita.. list includes Elvis Presley, Michael Jackson, Elton John etc.

Ni one among top 3 lyricist of all the time... Unasikiliza mashairi unapata maana zaidi ya moja..
Una kumbukumbu vizuri kuanzia 1999-2004 alikuwa anashika chati kwa kuzungumziwa zaidi.. kwenye majarida makubwa ..na media kubwa na ndogo...
New York times pekee walimmention mara 200.

Aseh itabidi nimwandie uzi huyu jamaa...
Daaaah, halafu kuna jamaa anamvunjia heshima the Rap god.....
 
Ni msanii bora wa decade 2000s ...
Kashinda tuzo zaidi ya Mia 52 ukijumuisha na Oscar moja ya tuzo kubwa na ya heshima duniani lakini hakwenda kuchukua ...alikuwa busy watching cartoon with his daughter Hailey..
Kuanzia 200-2010 the best selling artist akiwapiku the Beatles,Ameuza nakala nyingi kuliko pop artist yeyote...(najua unajua kuwa pop Ni mziki pendwa zaidi duniani.
Katika best selling solo artist anashika namba sita.. list includes Elvis Presley, Michael Jackson, Elton John etc.

Ni one among top 3 lyricist of all the time... Unasikiliza mashairi unapata maana zaidi ya moja..
Una kumbukumbu vizuri kuanzia 1999-2004 alikuwa anashika chati kwa kuzungumziwa zaidi.. kwenye majarida makubwa ..na media kubwa na ndogo...
New York times pekee walimmention mara 200.

Aseh itabidi nimwandie uzi huyu jamaa...
Fanya hivyo mkuu nausubiri uzi kwa mikono miwili
 
"I had a dream, I was king
I wake up, still king
This rap game's nipple is mine for the milking
Until nobody f@ckin feels me, until it kills me
I swear to God I'll be the f@ckin illest in this music"


Man, did you just say Eminem is overrated? Like serious? Come on man, slim mother f@ckin shady is not the best in the world. He's the best in the entire solar system!


Kwani hukusikiliza "no love" ambayo lil wayne wako alifunikwa, akafunuliwa, then akafunikwa jumla kwa verse moja tu? Kwani hukusikiliza "drop the world" ambayo eminem aliiangusha dunia, akaiokota then akaiangusha jumla lil wayne akiwa anashuhudia?

Kasikilize Jay Z alichofanyiwa kwenye "Renegade", ni unyama mtupu maniner!

Unaweza usimpende Eminem, ni kawaida huwezi kumpenda kila mtu, ila kazi yake inajieleza!.

Kwenye interview moja The game aliulizwa, utafanya nini ukijikuta kwenye rap battle na eminem? The game alijibu kwa neno moja tu, " RUN".

Outstanding flow, the best story teller, heavy punchlines, and the best free styles. Nakubali, hawezi kuwa best kwenye kila category, but if you sum them up, he's on a level of his own!

Kua na adabu next time ukiwa unamuongelea the hip hop's Leonel Messi. Kendrick still has a long way to go. Muweke na akina J cole huko, sio Marshall.

Niko nasikiliza "love the way you lie" hapa Rihanna ananisaidia kutafuta usingizi. Now f@ck you, and have a good night!
You nailed it
 
Hizo ngoma mbili za No love na drop the world...zote eminem kafunikwa.

Storrytelling em anapigwa bao na Kendrick niambie story gani kali ya eminem inazidi hata Sing About me Im dying of thirst ya kendrick
Em ni mzungu ndo kinachombeba
Kumbe wewe ni mjinga sana
 
Ni msanii bora wa decade 2000s ...
Kashinda tuzo zaidi ya Mia 52 ukijumuisha na Oscar moja ya tuzo kubwa na ya heshima duniani lakini hakwenda kuchukua ...alikuwa busy watching cartoon with his daughter Hailey..
Kuanzia 200-2010 the best selling artist akiwapiku the Beatles,Ameuza nakala nyingi kuliko pop artist yeyote...(najua unajua kuwa pop Ni mziki pendwa zaidi duniani.
Katika best selling solo artist anashika namba sita.. list includes Elvis Presley, Michael Jackson, Elton John etc.

Ni one among top 3 lyricist of all the time... Unasikiliza mashairi unapata maana zaidi ya moja..
Una kumbukumbu vizuri kuanzia 1999-2004 alikuwa anashika chati kwa kuzungumziwa zaidi.. kwenye majarida makubwa ..na media kubwa na ndogo...
New York times pekee walimmention mara 200.

Aseh itabidi nimwandie uzi huyu jamaa...
Please uzi wake nausubir sana tena sana.

Mijitu ya haijui mziki, haijui Hip Hop ni nini alafu wanasema E ni overrated....hihihiiiiiiiiiii
 
Nipo nasikiliza ngo
"I had a dream, I was king
I wake up, still king
This rap game's nipple is mine for the milking
Until nobody f@ckin feels me, until it kills me
I swear to God I'll be the f@ckin illest in this music"


Man, did you just say Eminem is overrated? Like serious? Come on man, slim mother f@ckin shady is not the best in the world. He's the best in the entire solar system!


Kwani hukusikiliza "no love" ambayo lil wayne wako alifunikwa, akafunuliwa, then akafunikwa jumla kwa verse moja tu? Kwani hukusikiliza "drop the world" ambayo eminem aliiangusha dunia, akaiokota then akaiangusha jumla lil wayne akiwa anashuhudia?

Kasikilize Jay Z alichofanyiwa kwenye "Renegade", ni unyama mtupu maniner!

Unaweza usimpende Eminem, ni kawaida huwezi kumpenda kila mtu, ila kazi yake inajieleza!.

Kwenye interview moja The game aliulizwa, utafanya nini ukijikuta kwenye rap battle na eminem? The game alijibu kwa neno moja tu, " RUN".

Outstanding flow, the best story teller, heavy punchlines, and the best free styles. Nakubali, hawezi kuwa best kwenye kila category, but if you sum them up, he's on a level of his own!

Kua na adabu next time ukiwa unamuongelea the hip hop's Leonel Messi. Kendrick still has a long way to go. Muweke na akina J cole huko, sio Marshall.

Niko nasikiliza "love the way you lie" hapa Rihanna ananisaidia kutafuta usingizi. Now f@ck you, and have a good night!
Nasikiliza ngoma hizi za mkali Slim Shade: Clenin'n out my closet, Lose yourself, Stan na when am gone. Huko kuna mapunch ya ukweli ila kwenye when am gone ndo jamaa kanshika zaidi
 
Marshall Mathers aka slim shady aka eminem aka the most overrated rapper alive
I mean lets call a duck what it is
Huyu jamaa watu wanasema anamzidi Lil wayne n a kendrick lamar

Mimi nasema otherwise
Nimejaribu kusikiliza projects zake kibao lakini wapi
Nakuomba wewe kama stan ujaribu kunielewesha uGOATness wa huyu jamaa kuwazidi hao nliowataja
Im open minded
HEbu ona huyu kiumbe alivyomkarisha Jay Z hapa.
Watu wansema EMinem ni Mzungu ambaye anafanya kitu ambacho ni origin ya ma blacks na kuwashinda mablacks in their own game.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom