Ni msanii bora wa decade 2000s ...
Kashinda tuzo zaidi ya Mia 52 ukijumuisha na Oscar moja ya tuzo kubwa na ya heshima duniani lakini hakwenda kuchukua ...alikuwa busy watching cartoon with his daughter Hailey..
Kuanzia 200-2010 the best selling artist akiwapiku the Beatles,Ameuza nakala nyingi kuliko pop artist yeyote...(najua unajua kuwa pop Ni mziki pendwa zaidi duniani.
Katika best selling solo artist anashika namba sita.. list includes Elvis Presley, Michael Jackson, Elton John etc.
Ni one among top 3 lyricist of all the time... Unasikiliza mashairi unapata maana zaidi ya moja..
Una kumbukumbu vizuri kuanzia 1999-2004 alikuwa anashika chati kwa kuzungumziwa zaidi.. kwenye majarida makubwa ..na media kubwa na ndogo...
New York times pekee walimmention mara 200.
Aseh itabidi nimwandie uzi huyu jamaa...