Emergency: nakopaje airtime kwa voda na airtel?

Keagan

Member
Aug 6, 2012
40
11
Wakuu,kama inavosomeka hapo juu.
Usiku ndo umesonga na nna emergency ya haraka kupga simu,nisaidien tafadhali..nobody around here knows.
 
pole mkuu, vp umefanikiwa? km bdo fanya hv kwa voda. piga *149*01# then fuata maelekezo. kwa airtel tuma neno daka kwenda namba 15349.
 
Back
Top Bottom