Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,688
- 17,107
Ila wabongo jaman basi tu ngoja tunyooke kwanza
Basi last month nimekaa zangu buzy na simu, nipo zangu Kibo Complex nachat chat na nini buzy na simu yangu
Mara mtu akadondoka inbobo, oh Aunty Penny naomba msaada wako
Penny: nambie mami
Mtu: aunty penny nilikuwa na shida samahani kama nitakuwa nakukosea, nina shida ya kupata sponsor
Penny: sponsor huyu vepee una maana gani?! ( hapo nimeshamwelewa basi tu nazuga)
Mtu: mtu wa kunipa raha na nini alafu awe ananipa na hela, maana nimechoka kukimbizwa na hawa vijana wadogo wanakuchooosha alafu unaondoka na buku 2, yote inaishia njiani nashindwa hata kununua sabuni ya kuogea
Aunty Penny: kha! Mdogowangu una miaka mingap?! Umesoma mpaka wapi
Mtu: 20 aunty, nimeishia kidato cha nne
Aunty Pennny: si urudi shule mami ukaendelee na masomo, hawa wanaume wana karaa
Mtu: ah me shule ishanishinda Aunty wangu, sa hivi nawaza mechi tu hamna material itapanda kichwani
Aunty Penny: du pole sana, lakini unajua me siuzi watu sina danguro
Mtu: najua aunty penny lakini navyokuona na stori zako unazoandika naamini unajuana na vibopa we ukipata mtu niunge nae, nataka mtu mzima kwenye 45 na kuendelea
Aunty Penny: mami hao wote unaowataja wameshaoa sasa itakuwaje namna hii?!
Mtu: me sina neno we walete tu, namba yangu 071. ... ...
Aunty Penny: sawa mdogowangu ila dah we mdogo sana kuchezea msambwanda nakushauri usome kwanza. Dah skudanganyi roho iliniuma sana mtu anatelekeza elimu kwa dushe?! Kiru shetani shindwaaaa shindwaaaa!
Kweli tumenyoooshwa, Masponsor kwani waliendaga wapi mbona wanasakwa hivi?! The struggle is real mtaani ee?! Hela hamna ee?!
Kama unamjua sponsor yoyote tumsaidie mdogo wetu maana sikio la kufa halisikii dawaaa
Basi last month nimekaa zangu buzy na simu, nipo zangu Kibo Complex nachat chat na nini buzy na simu yangu
Mara mtu akadondoka inbobo, oh Aunty Penny naomba msaada wako
Penny: nambie mami
Mtu: aunty penny nilikuwa na shida samahani kama nitakuwa nakukosea, nina shida ya kupata sponsor
Penny: sponsor huyu vepee una maana gani?! ( hapo nimeshamwelewa basi tu nazuga)
Mtu: mtu wa kunipa raha na nini alafu awe ananipa na hela, maana nimechoka kukimbizwa na hawa vijana wadogo wanakuchooosha alafu unaondoka na buku 2, yote inaishia njiani nashindwa hata kununua sabuni ya kuogea
Aunty Penny: kha! Mdogowangu una miaka mingap?! Umesoma mpaka wapi
Mtu: 20 aunty, nimeishia kidato cha nne
Aunty Pennny: si urudi shule mami ukaendelee na masomo, hawa wanaume wana karaa
Mtu: ah me shule ishanishinda Aunty wangu, sa hivi nawaza mechi tu hamna material itapanda kichwani
Aunty Penny: du pole sana, lakini unajua me siuzi watu sina danguro
Mtu: najua aunty penny lakini navyokuona na stori zako unazoandika naamini unajuana na vibopa we ukipata mtu niunge nae, nataka mtu mzima kwenye 45 na kuendelea
Aunty Penny: mami hao wote unaowataja wameshaoa sasa itakuwaje namna hii?!
Mtu: me sina neno we walete tu, namba yangu 071. ... ...
Aunty Penny: sawa mdogowangu ila dah we mdogo sana kuchezea msambwanda nakushauri usome kwanza. Dah skudanganyi roho iliniuma sana mtu anatelekeza elimu kwa dushe?! Kiru shetani shindwaaaa shindwaaaa!
Kweli tumenyoooshwa, Masponsor kwani waliendaga wapi mbona wanasakwa hivi?! The struggle is real mtaani ee?! Hela hamna ee?!
Kama unamjua sponsor yoyote tumsaidie mdogo wetu maana sikio la kufa halisikii dawaaa