Embu tusidanganyane Mzize, Feisal Ulaya wataisikia tu

Embu tusidanganyane Mzize, Feisal Ulaya wataisikia tu

Em kwenda huko, hata aziz ki mwenyewe ilikua ya uongo kutakiwa mamelodi, yanga kwa fix hawajambo.

Tutolee uwaki wako hapaa.
Azizi k hajawahi kuomba na mamelodi hayo ni maneno ya wachambuzi wa mchongo wa TZ kwa umri wa azizi k wa sasa sio rahisi kuchukuliwa na club kubwa , ni ngumu miaka 29 ni mkubwa sana.
Acheni wivu sometimes
 
Haaaaa.
Sio Leo ni 2 years ago. Kwa sasa sidhani kama wanamtaka Tena maana vilabu vingi vya ulanya wanapenda kuchukua wachezaji kutoka nje ya ulaya wakiwa umri wa miaka 16 mpk 19 .
Ukivuka hapo ni ngumu kukuchukua.

Pia Casablanca nao walimtaka
Na kaizer Chief,
Shida ni viongozi wao kupenda pesa nyingi.
Huu uongo wako tafuta kwa kuupeleka, sio hapa..
Hatutakiiiii. 😂😂😂😂😂
 
Azizi k hajawahi kuomba na mamelodi hayo ni maneno ya wachambuzi wa mchongo wa TZ kwa umri wa azizi k wa sasa sio rahisi kuchukuliwa na club kubwa , ni ngumu miaka 29 ni mkubwa sana.
Acheni wivu sometimes
Hakuna wivu, tunaongea ukweli.
Mayele ndo ilikua kweli, na akaondoka zake huko pyramids.

Hawa wengine ni fix, 😂😂😂😂😂
 
Hamna bwana, tupumzishe. Kwanza asingepass test ya umri.
Ulaya wanachukua wachezaji wengi kuanzia umri 16 , 17 mpk 18 wakichelewa sana 19 japo sio kivile.

Hao waliotoka nje ya bara la Africa mbali na hapo mmmh ni ngumu , kwa umri wa mzize wa sasa hio kwa kheli.
Afu timu za ulaya wanapenda kuchukua wachezaji waliotoka kwenye academy.

Jiulize kwa Nini wanigeria , Ivory coast, Ghana, Senegal wapo ulaya wengi.
Coz ya academy wanazo kule.
 
Azizi k hajawahi kuomba na mamelodi hayo ni maneno ya wachambuzi wa mchongo wa TZ kwa umri wa azizi k wa sasa sio rahisi kuchukuliwa na club kubwa , ni ngumu miaka 29 ni mkubwa sana.
Acheni wivu sometimes
Ukitaka kujua hilo suala ni uongo wa mchana kweupe, mmetafuta timu kubwa na inayojulikana ili iwe rahisi kuuza uongo wenu.

Halafu hapa unakanusha Aziz Ki kutakiwa wakati kocha Mokwena alionyesha mahaba ya wazi kwake hadi yule mganga wenu akataka kumpiga yule bishoo.

Hii inaonyesha unajaribu kuset agenda unayotaka wewe ambayo ni kinyume cha uhalisia.
 
Ulaya wanachukua wachezaji wengi kuanzia umri 16 , 17 mpk 18 wakichelewa sana 19 japo sio kivile.

Hao waliotoka nje ya bara la Africa mbali na hapo mmmh ni ngumu , kwa umri wa mzize wa sasa hio kwa kheli.
Afu timu za ulaya wanapenda kuchukua wachezaji waliotoka kwenye academy.

Jiulize kwa Nini wanigeria , Ivory coast, Ghana, Senegal wapo ulaya wengi.
Coz ya academy wanazo kule.
Sasa mbona unaanza kukubaliana na mimi kijanja? Ulianza na ishu ya ofa iliyotolewa, umerudi kwenye umri.
 
Ukitaka kujua hilo suala ni uongo wa mchana kweupe, mmetafuta timu kubwa na inayojulikana ili iwe rahisi kuuza uongo wenu.

Halafu hapa unakanusha Aziz Ki kutakiwa wakati kocha Mokwena alionyesha mahaba ya wazi kwake hadi yule mganga wenu akataka kumpiga bishoo wa watu.

Hii inaonyesha unajaribu kuset agenda unayotakqla wewe ambayo ni kinyume cha uhalisia.
Mimi sio Simba fan Wala yanga fan.

Hakuna taarifa yoyote kuwa mamelodi walimtaka. Ni wachambuzi wa mchongo tuu
🤣🤣🤣🤣🤣.

Uganga wa mpira wote upo Simba wanao na vyura wanao pia.

Tofauti na wazungu tuu , wao football wamechukulia ni professional
 
Mimi sio Simba fan Wala yanga fan.

Hakuna taarifa yoyote kuwa mamelodi walimtaka. Ni wachambuzi wa mchongo tuu
🤣🤣🤣🤣🤣.

Uganga wa mpira wote upo Simba wanao na vyura wanao pia.

Tofauti na wazungu tuu , wao football wamechukulia ni professional
Mimi sijasema wala kuitaja Mamelodi, nimesema Kocha Mokwena.

Hao wazungu unaosema wamechukulia football ni professional, hawawezi kumchukua mchezaji mwenye ukakasi kuhusu umri wake.
 
Hamna chochote cha maana unachosema, unatujaza tu. Ukweli ni huo niliosema na wewe umekuja kukubaliana na mimi, full stop.
Wala sijakubaliana na wewe. Rudi mwanzoni kasema upya.

Kwa umri wa sasa hawawezi chukuliwa na timu yoyote ulaya.

Ishu ya mzize ni years ago sio sasa. Umri ushaenda yule
 
Simba na yanga zinakaribia miaka 100 sasa , team hazina viwanja , hazina academy, Top players wao ni wa nje kazi kushawishi wachezaji wabadili uraia.
Shame on them na mashabiki wao kazi kutoka team zao zisifungwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom