Embu tusidanganyane Mzize, Feisal Ulaya wataisikia tu

Embu tusidanganyane Mzize, Feisal Ulaya wataisikia tu

DELETED ACCOUNT

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
9,805
Reaction score
15,470
Hizi habari kuwa Clement Mzize na Feisal Salum wanahitajika au wanaweza kuuzwa Ulaya sijui zinatoka wapi.

Hawa wachezaji wamecheza kwenye ligi ya ndani kwa zaidi ya miaka 5 na walishafika peak yao, umri tayari umesogea, ligi yetu haipo kwenye rada za mascout wa Ulaya na hatuna historia ya kutoa wachezaji kutoka ligi kuu kwenda Ulaya. Hizi zote ni sababu zinazotakiwa kukwambia kuwa hawa watamalizia mpira wao hapo hapo Mwenge.

Miaka ile ungesema labda wataenda kustaafia Uarabuni ila na wenyewe siku hizi hawachukui tu wachezaji ilimradi.
 
1000276342.jpg
 
Hamna cha madili wala nini. Ngozi nyeusi mnapenda kudanganyana. Mkiambiwa ukweli mnasema mtu ana chuki
Hii kweli kaka.
Mzize alitakiwa na Marseille ya ufarance , rais wake akataka 1 USD.

Ni kitu Cha ajabu sana mimi nilishangaa , uwezi kuuza mchezaji kutoka TZ kwa gharama hizo wakati yanga wenyewe hawajawahi kutoka mchezaji kwenda ulaya.

Hata vitabu vingine hakuna.
Nilishangaa sana
 
Hii kweli kaka.
Mzize alitakiwa na Marseille ya ufarance , rais wake akataka 1 USD.

Ni kitu Cha ajabu sana mimi nilishangaa , uwezi kuuza mchezaji kutoka TZ kwa gharama hizo wakati yanga wenyewe hawajawahi kutoka mchezaji kwenda ulaya.

Hata vitabu vingine hakuna.
Nilishangaa sana
Zote hizo habari za Marseille ni habari za mchongo. Ni jitihada tu za kumbrand mchezaji, kiongozi na klabu kwa njia za janja janja, hakuna kingine zaidi ya hapo.
 
Hii kweli kaka.
Mzize alitakiwa na Marseille ya ufarance , rais wake akataka 1 USD.

Ni kitu Cha ajabu sana mimi nilishangaa , uwezi kuuza mchezaji kutoka TZ kwa gharama hizo wakati yanga wenyewe hawajawahi kutoka mchezaji kwenda ulaya.

Hata vitabu vingine hakuna.
Nilishangaa sana
Em toa uwaki wako hapa, Marseille ya ufaransa ya Tandale labda, sio ya ulaya, mxxxieeeeew
 
Zote hizo habari za Marseille ni habari za mchongo. Ni jitihada tu za kumbrand mchezaji, kiongozi na klabu kwa njia za janja janja, hakuna kingine zaidi ya hapo.
Ya Marseille ni kweli.
Pia kulikuwa na Casablanca wao ni USD 500,000.
Pamoja na kaizer cheaf, sijajua ngapi.
 
Em toa uwaki wako hapa, Marseille ya ufaransa ya Tandale labda, sio ya ulaya, mxxxieeeeew
Haaaaa.
Sio Leo ni 2 years ago. Kwa sasa sidhani kama wanamtaka Tena maana vilabu vingi vya ulanya wanapenda kuchukua wachezaji kutoka nje ya ulaya wakiwa umri wa miaka 16 mpk 19 .
Ukivuka hapo ni ngumu kukuchukua.

Pia Casablanca nao walimtaka
Na kaizer Chief,
Shida ni viongozi wao kupenda pesa nyingi.
 
Ya Marseille ni kweli.
Pia kulikuwa na Casablanca wao ni USD 500,000.
Pamoja na kaizer cheaf, sijajua ngapi.
Kwa Wydad, Mzize alikuwa ni kifungashio tu cha dili la Aziz Ki kilichoingizwa na Yanga wenyewe ila Yanga haikuwa na dhamira ya kweli kumuuza Aziz Ki kutokana na sababu nilizozisema katika uzi mmoja wiki kadhaa huko nyuma. Vipengele vya Yanga kwa mauzo ya Aziz Ki vilikuwa havitekelezeki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom