Embu tukumbushane Jinsi tulivyo jifunza kuendesha Baiskeli..

dah.me mpaka leo nina kovu la baiskel. nlipoanza kujifunza ilinidondosha afu ikanichana mguuni mpaka nyama nyeupe ikaonekana. nkapelekwa pharmacy acha waniwekee ile dawa ukiweka kwny kidonda inachemka. nimeisahau jina. mwe asikwambie mtu maumivu yake!
 
Me nakumbuka alinifundisha rafiki yangu alikua ananifundisha vitu viwili kwa mpigo kuendesha na kupakiza mtu, si mnajua wengine wanaanza kujua kuendesha then baada ya muda ndio unajua kupakiza. Kuna day nilijigonga kwenye msitimu ilikua balaa nilivimba mguu mama alilia sana
 
dah nyie watu mnenikumbusha mbali
1. siku nilipomgonga mama aliyekuwa anatoka kisimani akiwa na ndoo ya maji kichwani
2. siku nilipogonga bata mitaa ya hananasif
3. siku mnyororo ulipochomoka nikiwa napanda mlima... na kujipigiza kwenye mgamba! maumivu yake we acha tu
4. siku nilipotest baiskeli mbovu nikitokea kinondoni ada estate nikaenda nayo hadi msasani penisula saafi tu, ila nilipogeuka tu ndio ikaniharibikia nikarudi nikisukuma hadi nyumbani
5. siku mzee wangu alipojua huwa naendesha baiskeli
 
sasa hiyo mikasa ya baiskeli ndio iliyonifanya nisiweze kuendesha mpaka leo........kila aliyekuwa anajua lazima aniambie alianguka.....hiyo ndio nilikuwa sitaki......
leo hii naweza kuendesha vyombo mbali mbali vya usafiri.....lakini baiskeli na pikipiki....vimedon't........

Ha ha ha ha,usipojua bike unakosa raha sana.
 
Me nakumbuka alinifundisha rafiki yangu alikua ananifundisha vitu viwili kwa mpigo kuendesha na kupakiza mtu, si mnajua wengine wanaanza kujua kuendesha then baada ya muda ndio unajua kupakiza. Kuna day nilijigonga kwenye msitimu ilikua balaa nilivimba mguu mama alilia sana

Pole sana
 
dah nyie watu mnenikumbusha mbali
1. siku nilipomgonga mama aliyekuwa anatoka kisimani akiwa na ndoo ya maji kichwani
2. siku nilipogonga bata mitaa ya hananasif
3. siku mnyororo ulipochomoka nikiwa napanda mlima... na kujipigiza kwenye mgamba! maumivu yake we acha tu
4. siku nilipotest baiskeli mbovu nikitokea kinondoni ada estate nikaenda nayo hadi msasani penisula saafi tu, ila nilipogeuka tu ndio ikaniharibikia nikarudi nikisukuma hadi nyumbani
5. siku mzee wangu alipojua huwa naendesha baiskeli

Mzee unakumbukumbu nzuri sana.
 
Nilijifunzia baskeli za kukodi mtaani, sh 20 kwa saa moja. Nakumbuka ajali kama mbili hadi nikaumia mguu.
 
Me nakumbuka alinifundisha rafiki yangu alikua ananifundisha vitu viwili kwa mpigo kuendesha na kupakiza mtu, si mnajua wengine wanaanza kujua kuendesha then baada ya muda ndio unajua kupakiza. Kuna day nilijigonga kwenye msitimu ilikua balaa nilivimba mguu mama alilia sana

Ha ha ha ha
 
dah.me mpaka leo nina kovu la baiskel. nlipoanza kujifunza ilinidondosha afu ikanichana mguuni mpaka nyama nyeupe ikaonekana. nkapelekwa pharmacy acha waniwekee ile dawa ukiweka kwny kidonda inachemka. nimeisahau jina. mwe asikwambie mtu maumivu yake!
Nyama nyeupe,kitiz motoz,lakin mwsho wa siku ukaibuka Mshndi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom