Elon Musk ampiku Jeff Benzos kwa utajiri duniani

Bado hajampiku Jeff Bezos wa Amazon
Screenshot_20210108-131845_Chrome.jpg
 
Dini gani hao jamaa?
Myahudi huyu...El kwa kiebrania ni Mungu so Majina ya kiyahudi mengi yana El...El shadai,Elijah,michael,Fanuel,gabriel,ezekiel,emmanuel
And yes Elon.
Musk kwa kiebrania ni Oak tree.
So baba yake ni mmoja ya wayahudi wachache waliokimbilia kuishi South Africa
 
Sii ujinga wetu wakusema graduates wajiajiri ...watu na masters anaendesha bajaj alafu tunasema kajiongeza upuuzi mtupu.

Sie ubunifu wetu ni wa survival mode wenzetu ni wamaendeleo na maendelea yanaletwa na watu kufanya kazi kulingana na kile walichosomea
Well kama ni masikini na huna mtaji au akili ya kutengeneza pesa za kueleweka.

Basi hapo chagua uendeshe bajaji maybe kama una goals utaweza kuongeza mtaji au kubali kufa masikini kwenye nyumba ya urithi na vyeti vikifanywa dinner na panya.

Hakuna kitu wala maisha rahisi.
Considering nchi tu ni masikini.
 
Kumbe alihamia marekani mimi nikiwa mwaka mmoja tu .. 1995

Sasa na mimi nikihamia huko uhakika within 20 years nitakuwa billionaire mweusi, dream come true ..tunza hii comment
Screenshot_20210108-133907_Google.jpg
 
Year of active hapo ni 1995 na yeye kuzaliwa ni 1971 hivyo alianza harakati zake akiwa na umri wa miaka 24 tu dah!! Tena hapo ali drop chuo alienda California kusoma PhD, aka drop baad ya siku mbili za ku attend class..

Mimi nina 27 (adi 8/8ndo natimiza 27 kamili) nikikomaa na harakati zangu za kuuza chakula na matunda baad ya miaka kama 20 hivi nitakuwa billionaire (sema sio hapa bongo maan tra watanipa kesi ya uhujumu uchumi halafu nitafilisika) hivyo kama yeye alihamia USA ndo akatimiza ndoto zake sasa na mimi nitahamia huko huko ..haha nothing is impossible mazee..tufanye kazi
Screenshot_20210108-134421_Chrome.jpg
 
Ni kwa jinsi gani hivyo vitu ni pesa? Kwenda Mars?

Wateja wake wako wapi?
Kama hili swali ni jepesi kwako,hebu lijibu fasta.
Kwenda Mars niliwahi kusikia hii habari kwamba huwenda itakuwa ni dollar milion
Kama unaona ni nyingi haiwezi kuwa hivyo kwa wengine
 
Sii ujinga wetu wakusema graduates wajiajiri ...watu na masters anaendesha bajaj alafu tunasema kajiongeza upuuzi mtupu.

Sie ubunifu wetu ni wa survival mode wenzetu ni wamaendeleo na maendelea yanaletwa na watu kufanya kazi kulingana na kile walichosomea
Wote unataka twende America Kama Elon?
Serikali yako Ina bajeti kiasi gani kwaajili ya tafiti na gunduzi raia wanaogundua vitu mabalimbali ili kuendeleza mawazo yao na kupatiwa mahitaji kwenye tafiti zao ili kutimiza malengo yao

Vyuo ulaya na America hawafundishi kugungua wanaheshimu mawazo ya watu na kuwasupport ili kufikia malengo ya ndiyo matokeo unayoyaona
 
Well kama ni masikini na huna mtaji au akili ya kutengeneza pesa za kueleweka.

Basi hapo chagua uendeshe bajaji maybe kama una goals utaweza kuongeza mtaji au kubali kufa masikini kwenye nyumba ya urithi na vyeti vikifanywa dinner na panya.

Hakuna kitu wala maisha rahisi.
Considering nchi tu ni masikini.

Point ya msingi hapa ni kwamba sie waafrika in general tunafanya survival mode developements.

We dnt value wasomi...tunawachukulia poa. Hamna nchi iliyoendelea duniani bila kuwathamini wanasayansi na mchangao wao.

Wenzetu wakikuona weee kichwa wanakwambia uraia huu hapa braza njoo tupigie kazi huku.
 
Wote unataka twende America Kama Elon?
Serikali yako Ina bajeti kiasi gani kwaajili ya tafiti na gunduzi raia wanaogundua vitu mabalimbali ili kuendeleza mawazo yao na kupatiwa mahitaji kwenye tafiti zao ili kutimiza malengo yao

Vyuo ulaya na America hawafundishi kugungua wanaheshimu mawazo ya watu na kuwasupport ili kufikia malengo ya ndiyo matokeo unayoyaona
Kwanza sijasema watu wahamie amerika.
Pili, umegonga mule mule yaani. Suala zima ni sis wenyewe kutengeneza mazimngira ambayo watu wenye talents tofauti wataweza kutumia hizo talents zao ipasavyo.
 
Kwanza sijasema watu wahamie amerika.
Pili, umegonga mule mule yaani. Suala zima ni sis wenyewe kutengeneza mazimngira ambayo watu wenye talents tofauti wataweza kutumia hizo talents zao ipasavyo.
Ndiyo usimlaumu sana magraduate lawama ni serikali zetu
Ideas nyingi za vijana zinakufa kwa kuwa hawapati support
Lakini kungekuwa na sekta kwa ajili ya maswala hayo ya kudeal na gunduzi kwamba unafika unawaeleza maprofesa wenye fani inayoendana na Jambo lako na wakijiridhisha na idea yako wanaandika proposal ufadhili utoke kwa kila unachohitaji kufanikisha jambo lako
 
Huyu jamaa inawezekana ndani ya mwaka mmoja utajiri wake ukatripple maana anafuatiliwa sana na watu halafu cha ajabu huwa hatangazi bidhaa zake kama kampuni nyingine
siasa zimembeba sana hasa baada ya bunge kuconfirm baiden hisa zimepanda maradufu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom