SaidSabke
JF-Expert Member
- Sep 28, 2006
- 2,071
- 402
mungu wangu tunaongelea elizabert gupta sio DokiiVip khusu Dokii,yupo wapi siku hizi wakubwa?
mungu wangu tunaongelea elizabert gupta sio DokiiVip khusu Dokii,yupo wapi siku hizi wakubwa?
Vip khusu Dokii,yupo wapi siku hizi wakubwa?
Huyu mdada eti aliwakilisha Tanzania kwenye ile show ya Big Brother. Hapa kwa kweli kachemsha. Kavaa kinguo kinachobana kwenye eneo la kwapa na matokeo yake ndiyo haya: nasty sweat stain. Huyu anahitaji prescription/ clinical strength 48-hour anti-perspirant deodorant, for real.
Kwa mrembo kama huyu............jasho kwapani kulikoni!!!Antisperspirant gel zilivyojaa hivi madukani bado mtu utoke kijasho kwapani.
Takbir...