Elimu yangu inanitesa!

mkuu Alzadawi,nnachokilaumu ni kutopewa haki zangu kama pesa ya uhamisho na mshahara kulingana na kiwango cha elimu,
haya yanapaswa kutolewa kwenda sambamba na kuongezeka kwa majukum,kutofanya hivyo ni kuzidi kuwaibia waalimu,
Mkuu kwa uzoefu wangu haki ya mtumishi wa umma haipotei katu, suala hapa ni utekelezaji, kikubwa fuatilia na kwa kufanya hivyo hata huyo mwajiri wako next time atajua nini cha kufanya mapema. Ndugu zangu kulalamika bila kuchukua hatua hayatakwisha haya matatizo, simama fuatilia!!!!
 
Mara nyingi Walimu wengi wanaotoka Primary hawataki kuhamia sekondari licha ya muongozo wa wizara kuwataka kuhamia sekondari. Mwajiri anabaki yuleyule ila tu unapewa majukumu mapya kulingana na elimu yako. Hilo la mshahara siwezi kulisemea lakini la kuhamishiwa sekondari nadhani huna mjadala nalo bali kukubali maelekezo ya mwajiri wako. Kuhusu allowance kama uhamisho wako unahusisha kufunga mizigo kwenda kituo kipya then unastahili disturbance allowance n.k
 
kuna waraka umetolewa na utumishi kwamba kwa sasa waalimu hawapandishwi madaraja kwani serikali haina hela, pia ujue kwamba kama ulikuwa kwenye bar ukiwa na diploma inamaana bar kwako ilikuwa G kama sikosa sasa unadegree unarudishwa D. anyway sijui kwanini serikali kwenye hili imeshindwa kutupa majibu mazuri.

juu ya kuongezewa majukumu hilo nalo ni tatizo manake lazima wewe ungeandika barua kama ungelitaka na pia kwa wao kuwa msingi wanaona kama wana ku underutilize so boss is boss ila lazima wakupe stahili zako zote, kwamfano sasa wamekupandisha daraja kuwa afisa elimu mwandamizi hivyo kuna maslahi unayotakiwa kupewa. komaa wakupe stahili zako zote, vinginevyo nenda kamshataki mwajiri wako huko ILO.
 
Nashukuru mkuu kwa ushauri bado nafatilia haki zangu japo napotezewa mbaya,ila hii kazi nnailaani.
kuna waraka umetolewa na utumishi kwamba kwa sasa waalimu hawapandishwi madaraja kwani serikali haina hela, pia ujue kwamba kama ulikuwa kwenye bar ukiwa na diploma inamaana bar kwako ilikuwa G kama sikosa sasa unadegree unarudishwa D. anyway sijui kwanini serikali kwenye hili imeshindwa kutupa majibu mazuri.

juu ya kuongezewa majukumu hilo nalo ni tatizo manake lazima wewe ungeandika barua kama ungelitaka na pia kwa wao kuwa msingi wanaona kama wana ku underutilize so boss is boss ila lazima wakupe stahili zako zote, kwamfano sasa wamekupandisha daraja kuwa afisa elimu mwandamizi hivyo kuna maslahi unayotakiwa kupewa. komaa wakupe stahili zako zote, vinginevyo nenda kamshataki mwajiri wako huko ILO.
 
Back
Top Bottom