Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Elimu ya vyuo Tanzania ni chini kutokana na kutokuwa na msukumo wa wanachuo uwepo madarasani. Mwanachuo aingie darasani au asiingie haiathiri cho chote kwa vyuo vya Tanzania.
Vyuo vya baadhi ya nchi mwanachuo akikosa kipindi kimoja lazima ajazie na kupewa onyo. Akikosekana maratatu na zaidi anaachishwa chuo. Je hili lipo bongo?
Vyuo vya baadhi ya nchi mwanachuo akikosa kipindi kimoja lazima ajazie na kupewa onyo. Akikosekana maratatu na zaidi anaachishwa chuo. Je hili lipo bongo?