Elimu ya vyuo Tanzania ni duni - Hakuna mkazo

Hiyo pia inafanyika KIU, amini usiamini. Najua wengi wanakishambulia kama chuo cha kata.

Sijuhi sana kuhusu KIU ila kuna Mganda mmoja alikuwa anakiponda hakuna maelezo. Nasikia Uganda ni chuo kinadharauliwa sana. Wanadai ni cha mfanyabiashara mmoja ambae hajaenda shule na ni ndugu wa Museven. Well nilijaribu kumuhoji mapungufu ya KIU hakufafanua sana ila alinambia Mganda akimaliza KIU hakuna ofisi inataka kumwajiri. Kimekaa kibiashara zaidi.
 
In either way, elimu yetu ni duni. Hivi ni wangapi wanamaliza vyuo vikuu hawajui kutumia computer? Watu wanaweza kulipuuza hili lakini reference nyingi zipo mtandaoni kuliko hata kwenye vitabu. Wengi wakijitahidi ni internet labda na Ms word. Teknolojia ipo nyuma.

Ndugu yangu budget inagomba. WHo will pay for article subscription? Ela za research kwa wahadhiri mpaka walambe miguu ya donor. What do you expect? Yaani serikali haina budget zaidi ya mishahara kwa vyuo. Bado umeme ndo hivyo tena utaongelea kujifunza kwa electronic.
Bora liende tu
 
Vyuo vtetu wahadhiri wanabaniwa hata kuprint materials jinsi vilivyo maskini. Utategemea mihujiza. Hata wahadhiri walosoma sijuhi Havard baada ya miaka kumi hamna kitu kichwani kwani hawana huwezo wa kuji update. Hata maprofessor wetu nina wasiwasi na huelewa wao kwa jinsi wasivyoweza kujiendeleza kwa researc na access of what is happening in the world. Hawakawii kuwa maprofessor jina.
 
Ndio maana maprofessor wengine wanahamua kufuga kuku na kufungua baa wafanyeje sasa?
 
Back
Top Bottom