Elimu ya siri / Hidden knowledge

Elimu ya siri / Hidden knowledge

Mada nzuri but imeishia njiani michango ya watu ni michache
 
Tatizo hivi vi Degree vya kuhonga wahadhiri ndio vinatufanya baadhi ya watu wajione na akili sana mpaka kudhani hakuna mungu au dunia inajiendesha yenyewe na hakuna nguvu ya NURU wala GIZA.
Usiku na Mchana ni mfano mzuri na wa dhahiri kuonyesha kwamba GIZA NA NURU havifanani.Kwakuwa akili hazifanani hata utashi wa mtu na mtu vile vile hutofautiana,hivyo kutoamini uwepo wa kitu fulani haimaanishi hicho kitu hakipo.
Elimu ya NURU ipo na hata elimu ya GIZA na zote zinafanya kazi,kuna baadhi ya vitu hudhihirisha uwepo wa kutokana na athari zake kwa vitu na viumbe.Kuna baadhi ya magonjwa ambayo yamegundulika kutokana na athari au matokeo yake kwa viumbe hai lakini kujua kwamba yamesababishwa na BACTERIA AU VIRUS mpaka ilipopatikana elimu ya kutengeneza vifaa vya utambuzi au kupimia.
 
hii elimu imefichwa kwa sababu tofauti tofauti..., ila mtoa mada unatakiwa uwe makini katika kutoa elimu hii kiholela. kwa mtu ambae amekua na personal experience kuhusiana na haya mambo hawezi kuyazungumza hadharani, sio kwa sababu ni mbaya ila ni kwa sababu ni hatari kwa mtu ambaye hayupo tayari kuzipokea. kwa mfano dini inafundisha kua mbinguni ni sehemu nzuri ya kukutana na mungu (kulingana na imani), ila kutokana na personal experience, mbinguni ni sehemu hatari sana kwa mtu asiyejitambua, ni hatari kuliko mtu anavyoweza kufikiria. kwa hiyo mtoa mada..., hii ni kwa ushauri tu usije ukaleta madhara kwa wengine ambao hawajajiandaa kwa ajili ya haya mambo ndugu.
Hee mbinguni ni sehemu hatari tena? Kivipi mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom