yuda75
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 520
- 1,378
Elimu siku hizi ni ile bora ni graduate mjomba atanisaidia nipate kazi.
Kwanini nasema hivyo, nimeenda na kuona interview nyingi sana baadhi ya wahitimu wanaokuwa wamemaliza hawana uelewa wa walichosomea kutokana na ile kukaririshwa.
Mfano niliwahi sikia chuo fulani lecture fulani akitunga mtihani lazima ujibu kile alichofundisha sasa unashindwa kuelewa anapima uelewa wa mwanafunzi au uwezo wa mwanafunzi kukariri.
Zamani ukisikia mtu graduate ana degree ilikuwa unamuogopa sana sasa hivi graduate wa bachelor degree unaweza mpambanisha na mtoto wa dasasa la saba agha khan au tusiime na akakalishwa kuanzia kujitambulisha, ujuzi na uelewa wa mambo.
Je, kuna ukweli wowote?
Kwanini nasema hivyo, nimeenda na kuona interview nyingi sana baadhi ya wahitimu wanaokuwa wamemaliza hawana uelewa wa walichosomea kutokana na ile kukaririshwa.
Mfano niliwahi sikia chuo fulani lecture fulani akitunga mtihani lazima ujibu kile alichofundisha sasa unashindwa kuelewa anapima uelewa wa mwanafunzi au uwezo wa mwanafunzi kukariri.
Zamani ukisikia mtu graduate ana degree ilikuwa unamuogopa sana sasa hivi graduate wa bachelor degree unaweza mpambanisha na mtoto wa dasasa la saba agha khan au tusiime na akakalishwa kuanzia kujitambulisha, ujuzi na uelewa wa mambo.
Je, kuna ukweli wowote?