BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 4,071
- 8,396
Hahahahaha uwiiiiii jaman jamanHapa ndio unafiki wa watanzania unapojidhihirisha! Sasa mnatajaje? Mtu asiposoma mnamwita kilaza/bashite wanaosoma, mnawaambia wanapoteza muda! Sasa mnataka nini?
Hahahahaha uwiiiiii jaman jamanHapa ndio unafiki wa watanzania unapojidhihirisha! Sasa mnatajaje? Mtu asiposoma mnamwita kilaza/bashite wanaosoma, mnawaambia wanapoteza muda! Sasa mnataka nini?
Nmekupenda buree bright onenombo toby kwani hata huko nje ya Tanzania let's say Marekani ama China askari, walimu ama nurses ni matajiri? Huwezi kuona umuhimu wa askari kwa maana unaishi kwa amani ila hujui hiyo amani inapatikana vipi. Huwezi kuona umuhimu wa mwalimu kwa maana sasa unajua kusoma na kuandika upuuzi kama huu na huwezi kuona umuhimu wa nurses kwa maana una afya njema kwa sasa...
You are still a little boy, nimekusamehe bure....
Maneno yakisomi apo tuu ktk maneno utamjua mtu kichwani yupo vizurMTU mwenye Mali huilinda Mali yake
MTU mwenye elimu .elimu yake humlinda
MTU mwenye Mali kadiri anavyoitumia hupungua
MTU mwenye elimu kadiri anavyoitumia huongezeka MTU mwenye Mali huwa na maadui wengi
MTU mwenye elimu huwa na marafiki wengi
Ungekua jirani hapa,,,,ningemuagiza brian akununulie cocacola bariiiiid ushushie,,,umeongea point sana mkuuMimi bado naamini elimu ni ufunguo wa maisha ila kuna tofauti kubwa kati ya maisha ya zamani na maisha ya leo. Zamani elimu ilkua ikifungua maisha sawa sawa ulikua ukimaliza tu f4 lazima upate pa kujiweka sababu wasomi walkua wachache. Lakini Elimu kama ufunguo wa maisha ya sasa ni tofauti sana ikumbukwe kuwa kila nyumba kuna msomi either wa level ya cheti, stashahada au shahada na wengi wao wanatafuta ajira. Je serikali na kampuni bnafsi wanaweza kuajiri wasomi wote?. Ifikie wakati wazazi waanze kuwawezesha watoto wao ili waweze kujiajiri.
Yesiiii namna hii hivi ndo vichwa vinatakiwa kuolewaUnachosema ni kweli, elimu inadumaza watu akili... Wanashindwa kufikiria vitu vya maendeleo na kutegemea kuajiriwa tu.
Nimewai ona kuanzia nurse hadi dactari tajiri. Ni jinsi anvyopanga maisha yake. Ukitegemea mshahara tu ndo unadumaa kiuchumi, ila kuna wanaofanya shughuli zingine pembeni. Aliekwambia mtu alie ofisini mda wote anashindwa kua na shughuli nyingine nani?? Unaajiri watu na kuendelea kula pesa pande zote mbili. Yaani kuna lecturers wapo vyuoni kila siku lakini pia ni wamiliki wa kampuni zinazoendelea vizuri, shule na mahoteli. Ni akili ya mtu pia...
Akili ya darasani ukiongeza na akili ya maisha unapata kitu amazing sana.
Point.vichwa safi kabisa mubashara safi mkuuEducation is Power-Sir Francis Bacon.
Kuwa na Elimu tu ya Suala lolote ni Jambo la Msingi tofauti na Ujinga {Ignorance} katika namna yeyote ile.Ngugi wa Thong'o anakuambia "Hata umasikini ungeuzwa bei gani nisingeununua".Unapozungumzia vitu viwili ELIMU NA UTAJIRI kwa wakati mmoja ndiyo mwanzo wa kuifanya mada yako iwe Narrow sana Mkuu.
Hakuna Uhusiano wowote wa Elimu na Utajiri.Yaani namaanisha hivi,Unaweza kuwa na Elimu ya Juu kama ulivyoiita pale juu na usiwe tajiri.Pia unaweza kuwa Masikini na usiwe na Elimu ya Juu.
Kama kuwa na Elimu mbalimbali ni kuwa na Utajiri {Kwa maelezo yako pale juu} basi Maprofesa wote wangekuwa na Utajiri kwakuwa wao ndiyo wenye Elimu kubwa kuliko sie kina kabwela.
No research No right to speak.Kawafanyie tafiti Matajiri woote unaowafahamu ulimwenguni kote ambao kwa namna moja au nyingine hawakuipata Elimu sawasawa then uwaulize kuhusu Faida ya mtu kuwa na Elimu then usikie majibu watakayokupa.In short ni kuwa wengi wao wanajutia mno kutokuwa na Elimu so In general EDUCATION IS THE BEST THAN BEING IGNORANT BY ANY MEANS.
Suala lingine ni kwamba,Siyo lazima wote watakaosoma Elimu ya Juu wawe Matajiri.Wengine hawakwenda kuipata hiyo Elimu unayoiita ya Juu ili waje kuwa Matajiri.
I submit.
Akikujibu nicall mkuuKwani askari nae ni msomi wa Elimu ya juu!?
Mshike sana elimu.tunasoma kuongeza maarifa sio kuwa matajiriMimi bado naamini elimu ni ufunguo wa maisha ila kuna tofauti kubwa kati ya maisha ya zamani na maisha ya leo. Zamani elimu ilkua ikifungua maisha sawa sawa ulikua ukimaliza tu f4 lazima upate pa kujiweka sababu wasomi walkua wachache. Lakini Elimu kama ufunguo wa maisha ya sasa ni tofauti sana ikumbukwe kuwa kila nyumba kuna msomi either wa level ya cheti, stashahada au shahada na wengi wao wanatafuta ajira. Je serikali na kampuni bnafsi wanaweza kuajiri wasomi wote?. Ifikie wakati wazazi waanze kuwawezesha watoto wao ili waweze kujiajiri.
Swadaqta mkuuNa wewe ni tajiri? Wapi ulipojifunza kuwa lengo la elimu ni kutajirisha wanaopata elimu?
Barikiwa sana Mkuu.Point.vichwa safi kabisa mubashara safi mkuu
Mkuu nimekwelewa sana ila sijafiki swala la siasa ndani ya hoja yakoNi kweli hakuna haja ya kuwa na wahitimu kibao wa elimu ya juu wasio na chochote cha kuchangia katika pato la nchi.Pia ni kweli tunge imarisha swala la veta na mafundi sanifu(mchundo) wa kutosha tungepiga hatua sana,maana hawa ndowatendaji kazi.
Pia ifahamike kwamba,swala la nchi za ulaya(USA) kufungua makampuni mengi Asia(China na India)sababu kubwa si tu wafanyakazi wa mishahara ya chini tu bali pia hata kodi za kufungua kiwanda ziko chini sana ukilinganisha na Africa.
Unaambiwa hivi,kufungua kiwanda Tanzania kodi zake ziko juu sana kuliko nchi zote za africa,sasa nani atakuja hapa kwetu.Ndosababu pia unaona viwanda hata vya magari vinafunguliwa Kenya na si Tanzania.Ukiwaeleza wana CCM wanakomaa na ujinga badala ya kuwasikiliza watu wanaoelewa.
Hatuwezi kuendelea kwasababu ya siasa nyingi na hatusikilizi wataalau wa ufundi na uchumi.Porojo za ki vyama na hasa CCM kutosikiliza wenzao hata kwa sekunde hazitatupeleka popote.
Chamsingi tuangalie,kama tunakodi nyingi zinazo either wakimbiza au kutokiwavutia wawekezaji,tuzirekebishe.
Implication au applicationTena elimu ya bongo ndio uchafu kabisa unakuta MTU anaelimu ya theory tu lakn implications hana uwezo wowote
Unaekijua ungemsahihisha tu ingependeza zaidi na ungemfunza, sio hivyo ulivyofanya.Kama kiingereza hujui si uandike kiswahili tu!
Usijali mkuu nipatie namba yako!Akikujibu nicall mkuu