Elimu ya chuo kikuu ni kupoteza muda

Elimu ya chuo kikuu ni kupoteza muda

Sivan

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2020
Posts
923
Reaction score
1,232
"Kusoma elimu ya chuo kikuu ni upuuzi sana, ni kupoteza muda kijinga"

Nimenukuu jamaa akisema hayo maneno hapa Stationary nikiwa natoa copy sijui kwanini kaongea vile.
 
"Kusoma elimu ya chuo kikuu ni upuuzi sana, ni kupoteza muda kijinga"

Nimenukuu jamaa akisema hayo maneno hapa Stationary nikiwa natoa copy sijui kwanini kaongea vile.
Inategemea na alichokisomea.. Kama alienda chuoni ilimradi tuu nayeye apate MKOPO basi matokeo yake ndio hayo.

Ila kama alienda haswaa kusomea anachokitaka/anachokipenda basi hawezi thubutu kusema hivyo!
 
Kuna ka ukweli hapo kama ni ufahamu tu elimu ya form6 inatosha kabisa
 
Real talk,kuna skill sets ukikazia in a year kwny side hustle unakuwa Expert mbaya, lkn chuo unapiga miaka mitatu bado upo Shallow, No skills.kuna watu chuo wamepiga uandisi lkn ni madata analyst noma,Fund manager wabaya.
 
"Kusoma elimu ya chuo kikuu ni upuuzi sana, ni kupoteza muda kijinga"

Nimenukuu jamaa akisema hayo maneno hapa Stationary nikiwa natoa copy sijui kwanini kaongea vile.
'mtu mpumbavu akikuambia jambo la kipumbavu nawe ukamkubalia, atakudharau maisha yake yote' nukuu ya mwl Nyerere.
 
Back
Top Bottom