Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,737
Huna IQ kubwa
Labda na wewe kama ni mpumbavu mwenzako.
Sawa
Huna IQ kubwa
Labda na wewe kama ni mpumbavu mwenzako.
Tuwe wakweli kweli kwa awamu hii mtu unaweza kwenda chuo eti kwa kitu unachokipenda? Labda kwa watoto wa kishua lakini kwa mtoto wa masikini, ki ukweli awamu hii imefanya hata wenye elimu ya chuo kikuu waonekane ndaza tu!! Mtu ana vyeti vyake vya u Daktari, vya uinjinia, bado anakula kwa kengere nyumbani?? Na tusidanganyane elimu yetu kumwambia mtu akajiajiri ni maneno ya ki siasa tu!!! Kama ni kusoma sawa, lakini kama huwezi kukabiliana na changamoto za maisha bado elimu haijakusaidia(hujaelimika)Inategemea na alichokisomea.. Kama alienda chuoni ilimradi tuu nayeye apate MKOPO basi matokeo yake ndio hayo.
Ila kama alienda haswaa kusomea anachokitaka/anachokipenda basi hawezi thubutu kusema hivyo!
Kuna kozi moja nimeiona jana kipindi nafanya applications za dogo inaitwa Bachelor of arts in non profit studies !!
utajiongeza vp mkuu Kama unafundishwa ku design machine hafu hakuna metals manufacture hata mmoja nchini kwakoKama huna connection kweli utaona ni ya kipumbavu lakini pia kama huna akili za kujiongeza utaona ya kipumbavu
"Kusoma elimu ya chuo kikuu ni upuuzi sana, ni kupoteza muda kijinga"
Nimenukuu jamaa akisema hayo maneno hapa Stationary nikiwa natoa copy sijui kwanini kaongea vile.
HahàhahahaahahahahaaaaaaaKuna kozi moja nimeiona jana kipindi nafanya applications za dogo inaitwa Bachelor of arts in non profit studies !!
Itakuwa ashawahi kuonja utamu wa SUPKaongea hivo sababu ni mpumbavu.