Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Kwa ushauri Wangu nenda chuo usome certificate ya accountancy kwa mwaka moja, endelea na diploma ya accountancy kwa miaka miwili, ingia degree ya accountancy uipige kwa miaka mitatu, malizia kwa mitihani ya bodi ya cpa.
Au
Nenda advance usomee combination ya E.C.A kwa miaka miwili, ingia degree ya accountancy uipige kwa miaka mitatu, malizia kwa mitihani ya bodi ya cpa.
Nakushauri uende chuo, nilipitia hio njia ya pili siwezi kutumia cheti cha advance kuomba kazi na kuna kazi kibao za ma assistant accountant ambao inabidi uwe na diploma,
Njia ya kwanza iko poa sana, inajenga kukujengea msingi mzuri wa taaluma ya uhasibu toka chini, itakua utarudia kusoma masomo mengi uliyosoma certificate ukiingia diploma, hivyo hivyo utarudia kusoma masomo mengi uliyosoma certificate na diploma ukiingua degree, yani vitu vichache sana vitakua vipya tofauti na yule aloetoka form 6 anakumbana na masomo mengi mapya.
Pia wale wa form 6 wakifika chuo wana ushamba flani hivi wa kuwa na maisha ya Uhuru kitu ambacho huwa kinaweza kuwashusba kitaaluma, mambo hayo wewe utakua umeshayazoea. Pia kuandaa vitu kama assignments, kufanya presentations, kufanya practical maofisini, n.k kwa wale wa form 6 inakuja kitu kipya kabisa ila kwa aliesoma certificate na diploma ni marudio na wala sio kitu kipya
Au
Nenda advance usomee combination ya E.C.A kwa miaka miwili, ingia degree ya accountancy uipige kwa miaka mitatu, malizia kwa mitihani ya bodi ya cpa.
Nakushauri uende chuo, nilipitia hio njia ya pili siwezi kutumia cheti cha advance kuomba kazi na kuna kazi kibao za ma assistant accountant ambao inabidi uwe na diploma,
Njia ya kwanza iko poa sana, inajenga kukujengea msingi mzuri wa taaluma ya uhasibu toka chini, itakua utarudia kusoma masomo mengi uliyosoma certificate ukiingia diploma, hivyo hivyo utarudia kusoma masomo mengi uliyosoma certificate na diploma ukiingua degree, yani vitu vichache sana vitakua vipya tofauti na yule aloetoka form 6 anakumbana na masomo mengi mapya.
Pia wale wa form 6 wakifika chuo wana ushamba flani hivi wa kuwa na maisha ya Uhuru kitu ambacho huwa kinaweza kuwashusba kitaaluma, mambo hayo wewe utakua umeshayazoea. Pia kuandaa vitu kama assignments, kufanya presentations, kufanya practical maofisini, n.k kwa wale wa form 6 inakuja kitu kipya kabisa ila kwa aliesoma certificate na diploma ni marudio na wala sio kitu kipya