Millifire69
Member
- Jul 8, 2021
- 94
- 109
Mniambie nn? Me natoa ushauri kwa madogo ππππ tukwambie au tukuache?
Hiyo MD ni ndoto yako kweli au umeaminishwa kuwa Ndoto yako ni MD?
Mniambie nn? Me natoa ushauri kwa madogo ππππ tukwambie au tukuache?
Hiyo MD ni ndoto yako kweli au umeaminishwa kuwa Ndoto yako ni MD?
Wewe unasubiri majibu ya application za Chuo, madogo gani tena unawashauri πππMimi naona form6 ni shortcut unless umefail(div1. 3-6), wanangu tuliomaliza form 4 wote wakaend clinical medicine direct sasahivi nimeshawa-bypass,nampango, nasikilizia majibu ya appl za vyuo zinatoka 25th mwezi huu...π
πππ tukwambie au tukuache?
Hiyo MD ni ndoto yako kweli au umeaminishwa kuwa Ndoto yako ni md?
Si madogo wa form6 waliopo shule, Mimi tokeo langu najua lazima nipate md, na naipenda πWewe unasubiri majibu ya application za Chuo, madogo gani tena unawashauri πππ
πππ sawa daktari.Si madogo wa form6 waliopo shule, Mimi tokeo langu najua lazima nipate md, na naipenda π
βπ€§πππ sawa daktari.