kidambinya
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 1,176
- 1,712
Advance kuna raha yake sana. Aliyepitia Advance akaenda Diploma kisha chuo, huwa tofauti sana na aliyetokea Advance moja kwa moja kwakuwa anakuwa ameongeza ujuzi fulani na uelewa wa mambo but connection pia ndugu, wengi wa wanaopitia Advance huenda chuo na hupata kazi nzuri mapema kwakuwa hawazunguki na hivyo tayari unakuwa na connection kupitia wana.
Chukulia mfano huu:-
Wewe ni Mwajiri na wamekuja vijana 2 ambao wamesoma course moja chuo na wamepata GPA sawa like 3.5 ila mmoja alipitia Diploma na mwingine direct from Advance.... Yupi utamwajiri ukizingatia katika Interview wote wameperform the Same?
Probably ni yule aliyepitia Diploma kwani nitamtumia pia katika mambo ambayo huyu asiyepitia Diploma hayajui.
Ningekuwa mkuu wa nchi ningepitisha utaratibu kuwa kila mwanachuo lazima apitie Diploma ndio asome Bachelor kwani huwajenga zaidi kiakili na uelewa wa mambo.
Chukulia mfano huu:-
Wewe ni Mwajiri na wamekuja vijana 2 ambao wamesoma course moja chuo na wamepata GPA sawa like 3.5 ila mmoja alipitia Diploma na mwingine direct from Advance.... Yupi utamwajiri ukizingatia katika Interview wote wameperform the Same?
Probably ni yule aliyepitia Diploma kwani nitamtumia pia katika mambo ambayo huyu asiyepitia Diploma hayajui.
Ningekuwa mkuu wa nchi ningepitisha utaratibu kuwa kila mwanachuo lazima apitie Diploma ndio asome Bachelor kwani huwajenga zaidi kiakili na uelewa wa mambo.