Rejea Kauli Iliyolewa Dodoma Kuhusu Ng'ombe Wasio Na Mikia.Kwa hiyo wanaofuatilia na kuwapigia simu kuwapongeza unawaweka kundi gani? Maana kamanda umewa disvalue
Kwa hiyo wanaofuatilia na kuwapigia simu kuwapongeza unawaweka kundi gani? Maana kamanda umewa disvalue
Umeniacha hoi sana mkuuKwa hiyo wanaofuatilia na kuwapigia simu kuwapongeza unawaweka kundi gani? Maana kamanda umewa disvalue
hii ni media ya vijana na sio raisi pekee anayeisifia viongozi mbalimbali wakitaka kuwakusanya na kuwapata vijana kwa urahisi ni media hii ndio kwa sasa inatumika zaidi kwa kuwa wengi wa vijana wanaifuatilia.............hizo sababu zako ni tia maji tia maji haziendani na ukweli hata kidogoMmmmh, kwa clouds huezi tafuta msomi ukampata.... Tusiwe wambea ktk hili. Hii ni media iliyojaa vijana wa bora tuongee tu.
Mkuu wa nchi aliwapgia simu kwa kuwa tu kuna kipengele walimsifia na si vinginevyo, Kama tujuavyo, hakuna mfalme asiependa kusifiwa
Wewe ndo utakuwa Na IQ ndogo, maana wale jamaa wanatumia sarcasm, kulingana Na issue wanayotaka kui address, so kuwaelewa Ni lazma uwe complete upstairs.Naomba kujua elimu ya hawa watangazaji wa Clouds 360, wamesoma vyuo gani? Najiuliza hivyo maana discussions zao huwa ni za kama watu wa vijiweni wasiokwenda shule.
Anyway, labda kuna audience wanayoilenga ya viwango kama hivyo.
VILAZA yaani hata yeye big potatoKwa hiyo wanaofuatilia na kuwapigia simu kuwapongeza unawaweka kundi gani? Maana kamanda umewa disvalue
Well said. Humu JF wengi wanajiona wana akili sana ila ukiwasoma utagundua ndio vi.laza.Wewe ndo utakuwa Na IQ ndogo, maana wale jamaa wanatumia sarcasm, kulingana Na issue wanayotaka kui address, so kuwaelewa Ni lazma uwe complete upstairs.
Binafsi mi huwa nawaelewa vizuri
Kwa hiyo wanaofuatilia na kuwapigia simu kuwapongeza unawaweka kundi gani? Maana kamanda umewa disvalue
Huwa nawasikiliza....utakuta mmoja anajidai haelewi very simple issue then mwenzie ndio anajaribu kumfafanulia wakati katika hali halisi wote wanajua nini kinaendelea,kosa liko wapi. Sasa ukikurupuka kama mtoa mada utapata conclusion yake.Ukiona mtu anawabeza hawa jamaa wa 360, jua kabisa uelewa wake Ni Mdogo Sana. Maana hawa jamaa huongea vitu sensitive Sana kwa kutumia sarcasm, so Kama we unawaza disco hapo utatoka kapa
wewe ndio hauna akili kabisa,ile ni local chanel/television kizungu cha nini,hivi ni nani aliyewaroga?Watangazaji wengi wana basic certificate ukiongea kizungu awakuoji wana kata matangazo
Ha ha ha kila.za anamsifiaga kila.za mwenzakeKwa hiyo wanaofuatilia na kuwapigia simu kuwapongeza unawaweka kundi gani? Maana kamanda umewa disvalue
...haha, hii style yao Ni nzuri Sana Na imetatua matatizo mengi Sana, nimekuwa nikiwasikiliza kila siku asubuhi nikiwa kwenye foleni, huwa Na enjoy Sana, maana style yao ya message sent, wahusika huwaelewa directHuwa nawasikiliza....utakuta mmoja anajidai haelewi very simple issue then mwenzie ndio anajaribu kumfafanulia wakati katika hali halisi wote wanajua nini kinaendelea,kosa liko wapi. Sasa ukikurupuka kama mtoa mada utapata conclusion yake.