Elimu na Pesa bora nini?

Pesa kaka tunasoma ili tuweze kupata pesa hapo baadaye ila pesa ikipatikana kirahisi unaweza acha kusoma ukashika mpunga wako heshima kitaa ikawepo kuliko yule aliyesoma degree hapafu hana kitu chochote
 
Just make enough money and you will win the hearts of the majority,provided you are generous. Even academia will call you up for a honorary doctorate degree, even when you don't deserve it,So why spend all your life time going to school when you known that money answer ETH, (money is every thing)
 
daaaah jana nlikutana na jamaa angu ana masterz akaniomba nimtoe hela ya lunch wakat mi ni form 4 leaver:(:(:(:(:(:D:D:D:D:D
 
Maisha ni mapinduzi,kwahiyo kila kitu kina umuhimu wake,..

Unaanza na mapinduzi ya elimu kisha unafanya mapinduzi ya pesa..

Kiufupi ukiwa na hela bila elimu ni ulemavu na kuwa na elimu bila hela ni elemavu...
 
Maisha ni mapinduzi,kwahiyo kila kitu kina umuhimu wake,..

Unaanza na mapinduzi ya elimu kisha unafanya mapinduzi ya pesa..

Kiufupi ukiwa na hela bila elimu ni ulemavu na kuwa na elimu bila hela ni elemavu...
Nini maana ya mapinduzi kutokana na statement yako
 
Bora ujinga usio na hasara kuliko elimu isiyo na faida.
PESA NDO MUHIMU MDOGO WANGU ELIMU HAINA FAIDA.
 
Wachumi hawahesabu pesa kama capital lakini elimu ni investment inajenga human capital ya mtu binafsi na nchi kwa ujumla. Hivyo elimu ni namba moja.
 
Back
Top Bottom