black nigga
Senior Member
- Sep 9, 2016
- 157
- 86
Pesa pesa pesaaaaaaasKwa mtazamo wako na hali halisi ya sasa Kati ya elimu na pesa wewe unachagua kipi toa maoni yako... Karibu
Pesa pesa pesaaaaaaasKwa mtazamo wako na hali halisi ya sasa Kati ya elimu na pesa wewe unachagua kipi toa maoni yako... Karibu
Nina kaka wawili wana degree moja moja lakini mwaka wa nane huu wanazeeka bila hta kuwa na kazi wala kiwanja cha mita 10 wakat mi elimu form four ila namshukuru Mungu nina hali inayoridhishaPesa kaka tunasoma ili tuweze kupata pesa hapo baadaye ila pesa ikipatikana kirahisi unaweza acha kusoma ukashika mpunga wako heshima kitaa ikawepo kuliko yule aliyesoma degree hapafu hana kitu chochote
Asilimia 70 ya matajiri wa tz hawana elimu kiviile na wachache km bakhresa ndo elimu sifuri so jbu unaloHahaha kama huna Elimu unaweza vp kuendesha pesa
Haha yap uko sawa kk pesa sabuni yarohoACHENI KUFANANISHA PESA NA VITU VYA KIJINGA
don`t take life too serious,we`re not permanent here,shauri zako...endelea kuupoteza muda.Wachumi hawahesabu pesa kama capital lakini elimu ni investment inajenga human capital ya mtu binafsi na nchi kwa ujumla. Hivyo elimu ni namba moja.
Ni kwel mkuuElimu maana pesa bila elimu huisha bila hbri
Hahaha utaesab vp pesa bila elimuHaha yap uko sawa kk pesa sabuni yaroho
Kwa hiyo elimu ya form four unaichukulia kawaida sana. kuelimika ni kuweza kuhamisha mafundisho uliyojifunza katika kukabili changamoto za maisha ya kila siku. kuwa na degree na masters sio guarantee ya kipimo kuwa mtu ameelimika. Gwiji wa elimu ya fizikia Albert Einstein anasema elimu ni kile kinachofanywa na mtu baada ya shule. Wewe umeweza kutumia mafunzo uliyoyapata kuzikabili changamoto zako.Nina kaka wawili wana degree moja moja lakini mwaka wa nane huu wanazeeka bila hta kuwa na kazi wala kiwanja cha mita 10 wakat mi elimu form four ila namshukuru Mungu nina hali inayoridhisha
Inasikitisha hasa unapoona vijana wanaingia chuo na msimamo wa pesa kwanza.don`t take life too serious,we`re not permanent here,shauri zako...endelea kuupoteza muda.
Elimu ni elimu Ata kama darasa la chekechea suala ni elimu tuMtoa mada ungesema ni ukomo upi wa elimu tunazungumizia kama ni degree au darasa la saba, maana mi ninawajua darasa la saba wengi wanapesa za hatari waliojifanya na videgree vyao kuja kua na pesa mpaka miaka 45 - 60 tena helanya mkopo na anasubir kiinua mgongo ndo ajenge
Ni kwel uyu tayar Ana elimuKwa hiyo elimu ya form four unaichukulia kawaida sana. kuelimika ni kuweza kuhamisha mafundisho uliyojifunza katika kukabili changamoto za maisha ya kila siku. kuwa na degree na masters sio guarantee ya kipimo kuwa mtu ameelimika. Gwiji wa elimu ya fizikia Albert Einstein anasema elimu ni kile kinachofanywa na mtu baada ya shule. Wewe umeweza kutumia mafunzo uliyoyapata kuzikabili changamoto zako.
Kweli mkuuShida ni wengi kufikiri elimu ni hadi uwe na shahada au stashahada ili hali hata darasa la 4 ni elimu
Reasonpesa