Elimu na Pesa bora nini?

Elimu na Pesa bora nini?

Utawezaje kuesabu ukiwa pale bank unalipia iyo elimu kuandika kama vile Jina lako na kiwango cha pesa kama utaweza bas ww unaelimu
tatizo hili swali limekuja nikiwa mkubwa.. labda ningekuwa mdogo ningejibu elimu.. ila kwa sasa pesa
 
Pesa ndo ukiwa nayo utapata kila kitu ktk ulimwengu huu. Ni rahisi mwenye fedha kupata elimu kuliko mwenye elimu kupata fedha
 
Unapouliza ili swali lazima tujue unamuuliza mtu has na gani.

Kwa maana swali kama ili huwezi kumuuliza mtu Chizi lazima atakwa na ajili timamu

Ila ili swali lingeulizwa na mungu jibu lingekuwa raisi sana (AKILI)

Lakini limeulizwa na mtu kama wewe jibu jepesi (PESA)

Kwa kuwa najijua akili tayari ninazo lakini sio za shulee,
Ili mradi Nina za kudadavua na kupiga Pasi nguo inatosha kabisa kuchagua kitu ambacho sina.
 
Back
Top Bottom