mrlonely98
Member
- Nov 6, 2009
- 94
- 6
Asalaam jamani kuna swali nataka niulize tunasikia kwamba zipo shule nyingi za private ambazo zinapandisha bei ya elimu kila mwaka je nini kinafanyika kuzuiahili itafika wakati hatutaweza kubeleka watoto wetu kupata elimu bora