May5
Member
- Oct 31, 2017
- 10
- 10
DEFINITION(MAANA)
Kuua bila kukusudia "BLACK LAW DICTIONARY 8TH EDITION 2004,P.3056
Limetoa maana kua "ni kitendo cha kuua binaadam bila ya nia ya kufanya hivyo" .....ni kwamba , bila ya kua na nia ovu mtu anaweza kusababisha kifo kwa mtu mwengine na akajikuta anawajibika katika mlolongo wa kisheria....mfano katika kesi ya "REPUBLIC V/S ELIZABETH MICHAEL" (UN REPORTED)
ambapo accused ameshukiwa kumuua "B" bila ya kukusudia na kukubali kosa hilo mbele ya mahkama.
VIINI VYA KOSA
A.kitendo kinyume ya sheria au kuacha kutenda.
Mfano "A" amewajibika kumsaidia "B" lkn akaacha kw makusudi au uzembe kumsaidia ...ikatokea "B" amefariki ..."A" atakua na kesi ya kujibu juu ya kwa nn ameacha jambo baya limtokee mwenzake ....au "B" sio kwa makusudi imetokea kamuua "Q" bila ya kukusudia "B" atawajibika .
B.kusababisha kifo kwa mtu mwengine.
AINA ZA KUUA BILA KUKUSUDIA.
1.kuua bila kukusudia.
2.kuua kwa kukusudia.
mfano :"S" amemuua "G" kwa hasira. Refer case of "BENJAMIN MWASI V. REPUBLIC(1992) TLR 86 (CA).
ambapo mshtakiwa alikubali kosa la kumuua mchumba wake ..katika rufaa alitaja defence ya hasira kutokana na maneno alioongea mpenziwe ambayo ni ya kashfa ...mahakama ya ya rufani ikakubaliana na dai lake na kosa lake likawa ni kuua bila ya kukusudia.
Mfano(2) : self defence(kujihami)
Ref. case of "MOSES MUNGASIANI LAIZER ALIAS CHICHI V. REPUBLIC (1994) TLR 222 (CA) .
Ambapo mshtakiwa alikata rufaa kutoka hukumu ya kuua kwa kukusudia kutokana na kusababisha kifo cha alieuliwa "deceased" ikiwa sababu ni kupigana ...mahakama ya rufani ikaamua kua mshtakiwa aliua bila ya kukusudia....
By Yunus (DIL 2nd Year )
Kuua bila kukusudia "BLACK LAW DICTIONARY 8TH EDITION 2004,P.3056
Limetoa maana kua "ni kitendo cha kuua binaadam bila ya nia ya kufanya hivyo" .....ni kwamba , bila ya kua na nia ovu mtu anaweza kusababisha kifo kwa mtu mwengine na akajikuta anawajibika katika mlolongo wa kisheria....mfano katika kesi ya "REPUBLIC V/S ELIZABETH MICHAEL" (UN REPORTED)
ambapo accused ameshukiwa kumuua "B" bila ya kukusudia na kukubali kosa hilo mbele ya mahkama.
VIINI VYA KOSA
A.kitendo kinyume ya sheria au kuacha kutenda.
Mfano "A" amewajibika kumsaidia "B" lkn akaacha kw makusudi au uzembe kumsaidia ...ikatokea "B" amefariki ..."A" atakua na kesi ya kujibu juu ya kwa nn ameacha jambo baya limtokee mwenzake ....au "B" sio kwa makusudi imetokea kamuua "Q" bila ya kukusudia "B" atawajibika .
B.kusababisha kifo kwa mtu mwengine.
AINA ZA KUUA BILA KUKUSUDIA.
1.kuua bila kukusudia.
2.kuua kwa kukusudia.
mfano :"S" amemuua "G" kwa hasira. Refer case of "BENJAMIN MWASI V. REPUBLIC(1992) TLR 86 (CA).
ambapo mshtakiwa alikubali kosa la kumuua mchumba wake ..katika rufaa alitaja defence ya hasira kutokana na maneno alioongea mpenziwe ambayo ni ya kashfa ...mahakama ya ya rufani ikakubaliana na dai lake na kosa lake likawa ni kuua bila ya kukusudia.
Mfano(2) : self defence(kujihami)
Ref. case of "MOSES MUNGASIANI LAIZER ALIAS CHICHI V. REPUBLIC (1994) TLR 222 (CA) .
Ambapo mshtakiwa alikata rufaa kutoka hukumu ya kuua kwa kukusudia kutokana na kusababisha kifo cha alieuliwa "deceased" ikiwa sababu ni kupigana ...mahakama ya rufani ikaamua kua mshtakiwa aliua bila ya kukusudia....
By Yunus (DIL 2nd Year )