Elimu juu ya pepo/mapepo

Elimu juu ya pepo/mapepo

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,095
Reaction score
828,911
Timeshajadiliana sana hapa jukwaani kuhusu hivi viumbe, asili yake tabia mienendo na utendaji wake.
. Hivi ni viumbe roho kwa maana ya kwamba havina umbo kamili la kimwili
. Huwinda miiili ya kufanya makazi yake sehemu za majini, makaburini milimani na hata kwenye misitu minene
. Kuna mkanganyiko kuhusu lifespan yake... Kuna dhana kuwa mapepo hufa lakini dhana nyingine ikipinga kwa muktadha wa kwamba hawa ni viumbe roho na roho haifi...
.Pepo bila kupata makazi ya kuishi hutaabika na kuwayawaya huku na kule mpaka yapate sehemu ya kutua

Hebu tuone pepo/mapepo kwa muktadha wa manabii na mitume.. Mapepo yatolewayo kwa waumini kwenye ibada zao
Case study ya Rose Mhando
Pepo ni viumbe roho wenye nguvu sana na anapoingia mahali na kufanya makazi basi kumtoa, kuwatoa si kazi rahisi.. Na unapomfukuza hapo alipo humwambii tu TOKAA bali inabidi umwambie aende wapi
Pepo anapoingia mahali huingia pekeyake lakini kadiri nuda unavyosonga huwaalika na pepo wengine kuja kuishi pamoja
Mazingira haya ya kuishi pamoja kuna wakati husababisha kuleta vita ya umiliki kwenye mwili husika..... Hapa mhanga mwenye mwili atapata tabu kwa vita isiyomhusu
Vilevile kuna wakati hawa waombeaji hufanya michezo ya kuwaalika mapepo kwa mkono mmoja na kuwafukuza kwa mkono mwingine... Hii humjenga na kuonekana ana karama kubwa....
Kwenye imani ya Kikristo tunaona Bwana Yesu akiwatimua mapepo.... Kwa kutumia mfano wake huu unaweza kupata maarifa mapya... Je alifanyaje?

Tunaambiwa akiwa NG'AMBO ya bahari alikutana na mtu aliyetoka MAKABURINI mwenye PEPO MCHAFU na makao yake yalikuwa MAKABURINI
Mtu huyu hakuna hata mmoja aliyeweza kumfunga tena hata kwa minyororo kwakuwa alishafungwa maranyingi kwa pingu na minyororo lakini akaikata minyororo na kuvunja pingu
Nuda mwingi alikuwa MAKABURINI na MILIMANI akipiga kelele na kujikatakata na mawe
Basi akamwona Yesu AKAMSUJUDIA kisha akasema NAKUAPISHA USINITESE..... Lakini Yesu akamwamuru PEPO amtoke mtu yule.... PEPO yule aliyejitambulisha kama LEGIONI (tafsiri ya wingi) akamsihi Yesu asiwapeleke nje ya mipaka ya nchi ile (kumbe hata wao wana mipaka)
Basi wakamsihi awapeleke kwenye kundi la NGURUWE, wapate kuwaingia wao.... YESU AKAWAPA RUHUSA... Nao wkawaingia NGURUWE wale na kutimkia bondeni majini.... Jumla ya mapepo/NGURUWE yalikuwa 2000

Hiyo ndio shughuli pevu ya mapepo... Pepo linalomtoka mtu ndani ya dakika 2 hilo ni feki ama la kualikwa... Lakini hata kama leo hii kuna mapepo basi ni malaini na nyoronyoro mno.... Mapepo yanayoruhusu mtu aoge na kuvaa vizuri, mapepo yanayoruhusu mtu ajitambue na kusimulia kila kitu... Haya ni mapepo ya kileo, kidigitali na kinyangema kweli....

Nimemaliza......
 
Huwa nacheka sana kuna baadhi ya watumishi huwa wanaongopewa nao pasipo kufahamu au wanafahamu hukubali, unakuta mtumishi wa mungu anamuombea mtu mwenye mapepo na hayo mapepo feki aliyonayo yanasema "Huyu ni fundi cherehani hatutaki afanikiwe tunataka auze vitumbua" 😂😂😂😂 kwanini watu wasiseme dini ni maigizo siku hizi? Nawakubali sana watumishi watatu kwa namna wasivyofundisha mapokeo tu 1.bulldozer mwaposa 2.nabii frank Julius 3.mzee wa upako lusekelo hawa hawafunfishi mapokeo tu bali na elimu ya kujitambua.

Si kila mtu anaeenda mskitini au kanisani anahitaji mapokeo ya kinadharia wengine wanahitaji njia tu ya wapi apite na afanye nini kwa kutumia nguvu ya namna gani.
 
Huwa nacheka sana kuna baadhi ya watumishi huwa wanaongopewa nao pasipo kufahamu au wanafahamu hukubali, unakuta mtumishi wa mungu anamuombea mtu mwenye mapepo na hayo mapepo feki aliyonayo yanasema "Huyu ni fundi cherehani hatutaki afanikiwe tunataka auze vitumbua" 😂😂😂😂 kwanini watu wasiseme dini ni maigizo siku hizi? Nawakubali sana watumishi watatu kwa namna wasivyofundisha mapokeo tu 1.bulldozer mwaposa 2.nabii frank Julius 3.mzee wa upako lusekelo hawa hawafunfishi mapokeo tu bali na elimu ya kujitambua.

Si kila mtu anaeenda mskitini au kanisani anahitaji mapokeo ya kinadharia wengine wanahitaji njia tu ya wapi apite na afanye nini kwa kutumia nguvu ya namna gani.
Hao mitume na manabii uliowataja hapo..mhh Mungu anakuona.
 
Pepo anaweza kukaa kwenye ubongo na kutumia mawazo yako kukuangamiza,kuna mapepo yanaitwa mawazo machafu Kwa watumishi wa Mungu akiomba pale mbele juu ya falme mamlaka na wakuu wa Giza vile vile anaangusha mawazo machafu
 
Timeshajadiliana sana hapa jukwaani kuhusu hivi viumbe, asili yake tabia mienendo na utendaji wake.
. Hivi ni viumbe roho kwa maana ya kwamba havina umbo kamili la kimwili
. Huwinda miiili ya kufanya makazi yake sehemu za majini, makaburini milimani na hata kwenye misitu minene
. Kuna mkanganyiko kuhusu lifespan yake... Kuna dhana kuwa mapepo hufa lakini dhana nyingine ikipinga kwa muktadha wa kwamba hawa ni viumbe roho na roho haifi...
.Pepo bila kupata makazi ya kuishi hutaabika na kuwayawaya huku na kule mpaka yapate sehemu ya kutua

Hebu tuone pepo/mapepo kwa muktadha wa manabii na mitume.. Mapepo yatolewayo kwa waumini kwenye ibada zao
Case study ya Rose Mhando
Pepo ni viumbe roho wenye nguvu sana na anapoingia mahali na kufanya makazi basi kumtoa, kuwatoa si kazi rahisi.. Na unapomfukuza hapo alipo humwambii tu TOKAA bali inabidi umwambie aende wapi
Pepo anapoingia mahali huingia pekeyake lakini kadiri nuda unavyosonga huwaalika na pepo wengine kuja kuishi pamoja
Mazingira haya ya kuishi pamoja kuna wakati husababisha kuleta vita ya umiliki kwenye mwili husika..... Hapa mhanga mwenye mwili atapata tabu kwa vita isiyomhusu
Vilevile kuna wakati hawa waombeaji hufanya michezo ya kuwaalika mapepo kwa mkono mmoja na kuwafukuza kwa mkono mwingine... Hii humjenga na kuonekana ana karama kubwa....
Kwenye imani ya Kikristo tunaona Bwana Yesu akiwatimua mapepo.... Kwa kutumia mfano wake huu unaweza kupata maarifa mapya... Je alifanyaje?

Tunaambiwa akiwa NG'AMBO ya bahari alikutana na mtu aliyetoka MAKABURINI mwenye PEPO MCHAFU na makao yake yalikuwa MAKABURINI
Mtu huyu hakuna hata mmoja aliyeweza kumfunga tena hata kwa minyororo kwakuwa alishafungwa maranyingi kwa pingu na minyororo lakini akaikata minyororo na kuvunja pingu
Nuda mwingi alikuwa MAKABURINI na MILIMANI akipiga kelele na kujikatakata na mawe
Basi akamwona Yesu AKAMSUJUDIA kisha akasema NAKUAPISHA USINITESE..... Lakini Yesu akamwamuru PEPO amtoke mtu yule.... PEPO yule aliyejitambulisha kama LEGIONI (tafsiri ya wingi) akamsihi Yesu asiwapeleke nje ya mipaka ya nchi ile (kumbe hata wao wana mipaka)
Basi wakamsihi awapeleke kwenye kundi la NGURUWE, wapate kuwaingia wao.... YESU AKAWAPA RUHUSA... Nao wkawaingia NGURUWE wale na kutimkia bondeni majini.... Jumla ya mapepo/NGURUWE yalikuwa 2000

Hiyo ndio shughuli pevu ya mapepo... Pepo linalomtoka mtu ndani ya dakika 2 hilo ni feki ama la kualikwa... Lakini hata kama leo hii kuna mapepo basi ni malaini na nyoronyoro mno.... Mapepo yanayoruhusu mtu aoge na kuvaa vizuri, mapepo yanayoruhusu mtu ajitambue na kusimulia kila kitu... Haya ni mapepo ya kileo, kidigitali na kinyangema kweli....

Nimemaliza......
Wanaume kuanguka huwa ni nadra sana Kwa nini wadada ?
 
Kunamtu alisema nirahisi sana kuomba pepo likatoka kuliko kumuombea mtu alie shikwa na mizimu sijui ukweli upoje
 
Back
Top Bottom