Nimekuwa naifuatilia Tamisemi na jinsi inavyofanya kazi, ni dhahili wizara hii imelemewa na majukumu.
Haiwezekani Tamisemi ichuje ajira za walimu, afya, kilimo n. k wakati Kuna tume ya ajira. Hiyohiyo wizara ihusike na uhamisho wa watumishi, iratibu mitihani na ulipaji posho, ishughulikie madeni ya watumishi, ishughulikie ufaulu wa wanafunzi.
Matokeo kidato cha nne 2020, yalitangazwa mapema kabisa na NECTA, cha kushangaza mpaka leo Tamisemi haijawahi kuwapangia shule wanafunzi, wengine wameshasahau kama kuna kusoma, wengine hasa watoto wa kike wamejazwa mimba.
Hiyo hiyo Tamisemi inaratibu ujenzi wa miundo mbinu ya elimu, afya n. k
Hiyo hiyoTamisemi inahusika na mchakato ya upandishaj vyeo kada mbalimbali ikiwemo watumishi wa kada za elimu.
Hiyo hiyo Tamisemi inahusika na kuratibu mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA.
Tamisemi imelemewa na kazi, itaporomosha ubora wa elimu, elimu irudishwe wizara ya elimu.
Haiwezekani Tamisemi ichuje ajira za walimu, afya, kilimo n. k wakati Kuna tume ya ajira. Hiyohiyo wizara ihusike na uhamisho wa watumishi, iratibu mitihani na ulipaji posho, ishughulikie madeni ya watumishi, ishughulikie ufaulu wa wanafunzi.
Matokeo kidato cha nne 2020, yalitangazwa mapema kabisa na NECTA, cha kushangaza mpaka leo Tamisemi haijawahi kuwapangia shule wanafunzi, wengine wameshasahau kama kuna kusoma, wengine hasa watoto wa kike wamejazwa mimba.
Hiyo hiyo Tamisemi inaratibu ujenzi wa miundo mbinu ya elimu, afya n. k
Hiyo hiyoTamisemi inahusika na mchakato ya upandishaj vyeo kada mbalimbali ikiwemo watumishi wa kada za elimu.
Hiyo hiyo Tamisemi inahusika na kuratibu mashindano ya UMITASHUMTA na UMISETA.
Tamisemi imelemewa na kazi, itaporomosha ubora wa elimu, elimu irudishwe wizara ya elimu.