proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 7,352
- 11,252
- Thread starter
- #61
Hata mimi nina hamu na wewe cijui we ndo mtoto wa mwenye dhamanaWewe ndo unaroho mbaya na avatar yako inasadifu hilo.

Hata mimi nina hamu na wewe cijui we ndo mtoto wa mwenye dhamanaWewe ndo unaroho mbaya na avatar yako inasadifu hilo.

Hata mimi nina hamu na wewe cijui we ndo mtoto wa mwenye dhamanaWewe ndo unaroho mbaya na avatar yako inasadifu hilo.

Labda utawala ubadilike, tuwe na utawala bora kwa kila sector
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app

Au nimeangalia viwango vibaya labda.Mbona kama zamani waliishia 17 mkuu?
Maana 18 ni four tiyari eti!
brain is the beautiful part of the body.
Itakuwa umeangalia vibaya!Au nimeangalia viwango vibaya labda.
Unajua kadri miaka inavyoenda ndivyo watoto wanazaliwa na akili ndogo SIKU IZI UKIMUULIZA MTU MBILI MARA MBILI lazima angalie kwenye kikotoo cha kwenye simu hapo hio ndio dalili.Nyie madogo wa siku hizi mmelegezewa , zamani ukipata hata D ya physics science we ni kichwa , Ila nashangaa siku hizi A na B ni zakutosha.
Sent using Jamii Forums mobile app

Wenye matusi hawataki kushindwa ndio maana wanayatumia kama kinga.
Ina maana kipichi cha 2015 four ilikua inaenda diploma?Karudisha ualimu wa diploma kwa form six division three wote wataenda huko .mwakajana waliwabania form six atakwenda huko walitaka only science now paka business wanaenda yan eca .walimu watakuwa ivyo waliofel BT div 3 ni nzuri tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora hata umesema mkuu,hawa madogo wa siku hizi hawsomi kabisa.Elimu haijawa ngumu, zaman tumesoma ktk mazingira magumu hata hakuna google search tunatafuta vitu kweny vitabu au daftar za waliotutangulia...sasa hiv kila kitu kipo na bado toto linapata three kwel....
Sent using Jamii Forums mobile app
Aise we ndiye uliyeto point pongezi kwako ndg wote wangewaza hivi tungekua na maendeleo.KWELI KWELI TUPU , Navyoona mm serikali HAITAKI watu wasome elimu ya Chuo kikuu , sababu BORA wangepandisha hizo grade kwa wale tu wanaotaka mkopo wao kama hawana pesa za kutosha au hata mikopo iwe kwa ajili ya div 1 na 2 tu hao wa 3 wajisomeshe.
Pili kwa nini wapandishe hizo grade juu zaidi ya grade za kimataifa ? (kwa wale wanaojisomesha nje ya nchi )
HII INA NIA NA MAANA GANI kama sio kuzuia watu wasisome ?
We unahisi sababu ni nn?Bora hata umesema mkuu,hawa madogo wa siku hizi hawsomi kabisa.
Walikuwa wanakupunguzia nini? kumbuka wengi wa matokeo hayo huwa wale wa science so sio vilaza kihivyoKwanza nimefurahi kichizi mnavyobaniwa
OkItakuwa umeangalia vibaya!
brain is the beautiful part of the body.
Mimk pia nashangaa sijui kwanini madogo hawafulu wakati kila kitu wanacho,watu tumesoma shuleni kwetu hakuna library hakuna internet lakini watu tumefaulu..... lakini watoto wa siku hizi wana kila kitu lakini wanapiga zero za kutosha,yani utandawazi badala ya kusaidia umekuja kuwaharibu kabisa ,watu 24/7 wako Facebook na Instagram hapo unategemea nini Mkuu.We unahisi sababu ni nn?
Hapana ni dv 3 bt 2016 walibadilisha kutoka 2 yrs to 3 yrs wanahiita higher diploma kwa science onlyIna maana kipichi cha 2015 four ilikua inaenda diploma?
KumbeeHapana ni dv 3 bt 2016 walibadilisha kutoka 2 yrs to 3 yrs wanahiita higher diploma kwa science only
Sent using Jamii Forums mobile app