Elimu inazidi kuwa ngumu

Elimu inazidi kuwa ngumu

Elimu haijawa ngumu kwa sasa. Nakumbuka miaka ya 2005 kurudi nyuma waliokuwa wakienda chuo kikuu walikuwa ni division 1 na 2. Three ya DDE ilikuwa bahati sana kuingia chuo kikuu.
Na wengi tulioingia chuo kikuu tulisoma katika shule za serikali na sio private.
Naunga mkono the lowest entry iwe DDE otherwise ni bora uanzie Diploma au uende Uganda utapata degree nzuri tu, na kazi ufanye hukohuko

Sent using Jamii Forums mobile app
Du kwa wanaotaka kujiendeleza sa ivi ni tough sana
 
Sio kweli Elimu ya A level imekuwa simple(nyepesi ) sasa zama division one ulikuwa point 3 mpaka 7 , division two 8 na 9 tu Ebu angalia sasa hivi division one inaanza na point 3mpaka 9 na division two inaanza na point 10 mpaka 12 ni hivi yaani zamani. MTU ukipata point 10 una division 3 kila kwa sasa MTU ukipata point kumi ana division two imekuwa nyepesi Sana'a sio kama zamani bana

Sent using Jamii Forums mobile app
zamani ipi ambapo pointi 10 ilikuwa three??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukiangalia huko tulikotoka elimu ilikua nafuu kwe viwango vya matokeo,lakini sasa ni shida kwa kweli.

Kwa mfano kipindi cha nyuma ulikua ukipata THREE kuanzia ya 14-18 unaenda chuo kikuu lakini hivi sasa unaambiwa ukiwa na three umefaulu cha kushangaza usipokua na cut off point 4 yaani DD huwezi kwenda chuo kikuu.

Sasa kwa hapo asiepata hizo point unakuta ana3 lkn haendi chuo kikuu si bora wangesema aliepata 3 amefeli? Kwa haina maana kuwa na three isiyoenda chuo kikuu hata kwa nchi nyingine. Huu uboreshaji wa elimu wa namna gani huu?.

Ukiangalia nchi nyingine kwanza hakuna hata advance.

KWELI KWELI TUPU , Navyoona mm serikali HAITAKI watu wasome elimu ya Chuo kikuu , sababu BORA wangepandisha hizo grade kwa wale tu wanaotaka mkopo wao kama hawana pesa za kutosha au hata mikopo iwe kwa ajili ya div 1 na 2 tu hao wa 3 wajisomeshe.

Pili kwa nini wapandishe hizo grade juu zaidi ya grade za kimataifa ? (kwa wale wanaojisomesha nje ya nchi )

HII INA NIA NA MAANA GANI kama sio kuzuia watu wasisome ?
 
Kwanza nimefurahi kichizi mnavyobaniwa
Ukiona mtu anafurah kufeli kwa mwenzie , basi jua kabisa mtu huyo anaroho ya kichawi kilichobaki ni kutafuta vitendea kazi tu, acha roho mbaya mkuu, roho mbaya na ubinafsi havijengi
 
Ama kweli acha heshima ijengeke hata ualimu uheshimike kwan watu wanafikiri mwalimu ni mtu aliye feli.
Karudisha ualimu wa diploma kwa form six division three wote wataenda huko .mwakajana waliwabania form six atakwenda huko walitaka only science now paka business wanaenda yan eca .walimu watakuwa ivyo waliofel BT div 3 ni nzuri tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona elfu mbili na 2014 watu wamefaulu fresh tu sasa wameongezewa hivyo Ebu fukilia wanhetumia hiyo watu wa 2014 wangekuwa na Ones na Two zakumwaga sanaa
we kweli kilaz.a..zamani ipi ambapo pointi 10 ilikuwa three??

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha Kutukana watu uwe na hekima na Busara Ebu angalia matokeo ya 2014 watumia hizo grade za A
Acha uongo dogo ,,hiyo ilitumika kwa mwaka 2014 pekee na grades zao zilikuwa ndogo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona mtu anafurah kufeli kwa mwenzie , basi jua kabisa mtu huyo anaroho ya kichawi kilichobaki ni kutafuta vitendea kazi tu, acha roho mbaya mkuu, roho mbaya na ubinafsi havijengi
Wewe ndo unaroho mbaya na avatar yako inasadifu hilo.
 
Badala ya kuwawazia watoto we unawazia tumbo lako???? Africa kwanini sisi kila siku??? jarbu kuona mbali ndugu. Elimu inayotolewa kwa sasa haina viwango vyotote vya kumpeleka mtu popote! mpaka sasa elimu imetegwa ...aaa!!!?????!!!?
 
Kutokana na wingi wa vyuo point 4 ni kubwa sana bora wangepanga 3 .ata kama zamani vyuo vilikuwa vichache na watu walikuwa wanaenda chuo kwa point 5 paka 6 .mwaka huu sidhan kama vyuo vitapata watu vile mihayo Jordan teku ni maon tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndo apo sasa !!watuhurumie jaman angalau ata iwe point 3 au 4 from three subject walau na ss wahanga wa DEE tupate sifa ya kudahiliwa.
Ila nakumbuka Mkulu alisemaga kuwa vyuo vya private vitajifunga venyewe!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si ndo apo sasa !!watuhurumie jaman angalau ata iwe point 3 au 4 from three subject walau na ss wahanga wa DEE tupate sifa ya kudahiliwa.
Ila nakumbuka Mkulu alisemaga kuwa vyuo vya private vitajifunga venyewe!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana walitengeneza hayo majumba kwa ajili ya kuwa magofu?
 
Badala ya kuwawazia watoto we unawazia tumbo lako???? Africa kwanini sisi kila siku??? jarbu kuona mbali ndugu. Elimu inayotolewa kwa sasa haina viwango vyotote vya kumpeleka mtu popote! mpaka sasa elimu imetegwa ...aaa!!!?????!!!?
Wamepanga hivyo viwango kwa kuwa wanajua watoto hawatofeli,unakuta wao familia nzima wana degree
 
Back
Top Bottom