Elimu inazidi kuwa ngumu

Elimu inazidi kuwa ngumu

We mnoko aise au kwa kuwa ulishapitapo au baba yako ni kigogo ndio maana unaringa.
Heshima ya kuwa chuo kikuu inashuka ikiwa wote mtafika chuo

Bora wengine wakaziwe kiasi kwamba ukipita mtaani kama mwanachuo heshima inakuwepo.
 
Sio kweli Elimu ya A level imekuwa simple(nyepesi ) sasa zama division one ulikuwa point 3 mpaka 7 , division two 8 na 9 tu Ebu angalia sasa hivi division one inaanza na point 3mpaka 9 na division two inaanza na point 10 mpaka 12 ni hivi yaani zamani. MTU ukipata point 10 una division 3 kila kwa sasa MTU ukipata point kumi ana division two imekuwa nyepesi Sana'a sio kama zamani bana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa mifumo ya elimu yetu inakoelekea, mwanangu nitamtrain mapema awe mkulima ili form six leavers wajipatie angalau ajira ya kupakia mazao
Hayo ndiyo mawazo ya kisasa kabisa, acha hao wenye mawazo ya mwaka 47 eti wakisoma university watapotembea kitaa wataheshimika wakati wakishagraduate wanaanza kuwalamba miguu watu ambao hata shule hawaijui

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
 
Elimu haijawa ngumu kwa sasa. Nakumbuka miaka ya 2005 kurudi nyuma waliokuwa wakienda chuo kikuu walikuwa ni division 1 na 2. Three ya DDE ilikuwa bahati sana kuingia chuo kikuu.
Na wengi tulioingia chuo kikuu tulisoma katika shule za serikali na sio private.
Naunga mkono the lowest entry iwe DDE otherwise ni bora uanzie Diploma au uende Uganda utapata degree nzuri tu, na kazi ufanye hukohuko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli Elimu ya A level imekuwa simple(nyepesi ) sasa zama division one ulikuwa point 3 mpaka 7 , division two 8 na 9 tu Ebu angalia sasa hivi division one inaanza na point 3mpaka 9 na division two inaanza na point 10 mpaka 12 ni hivi yaani zamani. MTU ukipata point 10 una division 3 kila kwa sasa MTU ukipata point kumi ana division two imekuwa nyepesi Sana'a sio kama zamani bana

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo dogo ,,hiyo ilitumika kwa mwaka 2014 pekee na grades zao zilikuwa ndogo
 
Sio kweli Elimu ya A level imekuwa simple(nyepesi ) sasa zama division one ulikuwa point 3 mpaka 7 , division two 8 na 9 tu Ebu angalia sasa hivi division one inaanza na point 3mpaka 9 na division two inaanza na point 10 mpaka 12 ni hivi yaani zamani. MTU ukipata point 10 una division 3 kila kwa sasa MTU ukipata point kumi ana division two imekuwa nyepesi Sana'a sio kama zamani bana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ya one ya 3-7 ilikuwa 14 na 15 mwaka uliofuata ilirudi kama kawaida... kipindi hicho kulikuwa na A, B+, B, C, D, E, S...
yaan point nane lzma upate B+, B, B kwa mwaka huu maana yake angapeta BCC...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli Elimu ya A level imekuwa simple(nyepesi ) sasa zama division one ulikuwa point 3 mpaka 7 , division two 8 na 9 tu Ebu angalia sasa hivi division one inaanza na point 3mpaka 9 na division two inaanza na point 10 mpaka 12 ni hivi yaani zamani. MTU ukipata point 10 una division 3 kila kwa sasa MTU ukipata point kumi ana division two imekuwa nyepesi Sana'a sio kama zamani bana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wigo wa division upo sawa zamani kuingia chuo ni point 2 zenye thamani ya 30 kwa point mbili zinakuwa 60 .mfumo mpya ambao wameuchukua eti uko nyuma yan wameurudisha chuo uende na point 2 zenye thamani ya 50 kila moja total kwa mbili inakuwa 100. Kwa wale wa miaka 2000 paka nais 2012 walikuwa point zao zina thamani ya 45 total inakuwa 90 .ukiangalia 2016 bado wapo juu kuliko miaka yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama kweli acha heshima ijengeke hata ualimu uheshimike kwan watu wanafikiri mwalimu ni mtu aliye feli.
 
Back
Top Bottom