kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,419
- 3,388
Elia alisimamisha mvua,Elia alishusha moto toka mbinguni ,ukawalamba manabii wa bahari wotee,hasira ya mungu ilishuka kupitia kwa nabii Elia,Elia alikuwa nabii jeuri hataki masihara,aliita manabii wa bahari akawambia wekeni sadaka zenu za kutekeza hapa na muwaite miungu wenu wachukue sadaka zenu,hakuna mungu aliyeshuka,Elia akaweka yake na kujipiga kifua kumuomba mungu wa kweli ashuke,Mara akashuka na kuichukua sadaka,manabii wa bahari waliogopa sana,itaendelea