Elevation

Elevation

Huwa unajadili mambo from the mouth of which river? Unajua kuwa kwa 80% wanawake hatutongozi? So now tell me ni kwanini mtu umtake mwenyewe halafu ulalamike unayoyalalamikia hapa.
Suala la kutongoza lipo kisaikolojia zaidi. Mwanaume ndie huwa anafanya direct first move, lakini haimaanishi mwanamke hana uhitaji. Infact mwanamke pia anatongoza ila kwa kuonyesha ishara, ni wachache sana wana ujasiri wa kumface mwanaume na kumtakia wazi.
Ngoja nikupe siri, Men likija suala la long-term relationship are always intentional, Ikiwa yeye ana asset na chochote alichonacho anavyoamua kuwa na mwanamke wa aina fulani kuna vitu anakuwa ameshavutiwa navyo kwa mhusika, wanaume hawachukui wanawake kwa HURUMA wanachukua wanawake wakiwa wanajua exactly watanufaika na nini kutoka kwa huyo mwanamke, Hiko anachonufaika nacho ndicho lazima akifanyie compensation , ambapo kwa hapa ni “Elevetion”.
Hicho ndicho ninachoongelea mimi. Mwanaume pia afanye calculation aangalie atapata elevation gani kabla hajaji-commit kwenye mahusiano na mwanamke.

Ni ukweli ulio wazi bila financial security kwa mwanamke hakuna maana ya yeye kuwa kwenye mahusiano.

Mwanamke akiulizwa what do you bring on the table, atakuja na blah blah tu za prayers, advice and peace of mind... Totally bullshit., if her prayers and advice wouldn't be as useless as a used toilet paper she wouldn't be looking for a man to offload her financial responsibilities to.
 
Bila uhakika wa security mwanamke hawezi kukaa hapo, ataondoka tu. Ndio maana sisi wazee tunawadundisha vijana kutotumia neno "love" kwa sababu halina uhalisia tena.

Atakuonyesha upendo kwa sababu, its very conditional nowadays, no one will show you unconditional love, hiyo dunia imepita zamani sana.

So, as a man jenga himaya yako, awesome au asiwepo wewe jijenge, make your own world na hakikisha huo ulimwengu wako hau-revolve around her, akiwepo sawa, asipokuwepo ni sawa pia.
Fact
 
Hapo sawa.

Huwa unajibu hizi mada kwa utulivu, sijawahi ona ukipoteza "composure".

Wenzako wakipewa kashfa kidogo tu mfano; "bikra ni lazima!" wanalipuka wanaanza kutoa mipasho.

Basi nikawa najiuliza mbona B.K hana mihemko kama KE wenzake, au ni ME mwenye ID ya kike?😃
Mkuu bikira sio kashfa. Kidini, kitamaduni, kisayansi na kijamii hiyo ni preference ya muhimu sana
 
Haaaaa kidogo tu….

Lakini nimeingia darasani kusoma kuhusu feminism, ukijifunza kuhusu feminism automatically utajua kuhusu wanaume na namna gani wamemanipulate mambo muda mrefu kwa faida yao/ faida ya dunia. Nimesema faida ya dunia sababu ni kweli kwa asili ya mwanamke asipofungwa speed-gavana dunia itapinduka chini juu! 😅

Kwahiyo nafahamu kiasi fulani kuhusu wanaume, (kwa kusoma na kuobserve) nafahamu sio tu ubaya wao, uzuri wao, hata struggle zao pia…….!
Sema kuna namna haujazama deep hapo kwenye feminism. Kuna first wave, second wave na third wave feminism. Hii third wave feminism tuliyopo sasa ni mbaya sana na inaenda kualibu kabisa ustawi wa jamii. Hoja zako huwa unazijenga kwa kufanyia rejea first wave feminism yaani ile ilipiganiwa na wakina getrude mongella, sio hii ya sasa ya wakina joyce kiria.
 
Uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia

kama urembo wake ndio utakuwa fimbo ya kukunyanyasa kihisia na kukutawala. awe heartless kwako.

STUKA..ni bora ukasaliti hisia zako ili usishikwe masikio..

kindness is the one that makes some one beautiful...UTU wa mtu na utulivu..moyo mwema ..UPENDO wa dhati..heshima..unyenyekevu..feminine...uvumilivu...,God fearing..G(TABIA).
wife material quality..sifa za tabia njema ya kupendeza.

hizi women empowerment..na mfumo jike ..umeondoa sifa njema..umefanya mabinti waote mapembe...na kudharau vijana wa kiume.

imepelekea msichana wa elimu ya juu wa sura nzuri au anayejiweka high class(juu au sawa ya mumewe) na kujiona hawezi kumtii au kuwa chini ya mumewe..imefanya ndoa nyingi kutodumu...au kuwa migogoro.

haya mambo ya women empowerment ndiyo yamesababisha ndoa nyingi kutodumu huko western wameleta na huku afrika..kubdestabilize family units.
 
Suala la kutongoza lipo kisaikolojia zaidi. Mwanaume ndie huwa anafanya direct first move, lakini haimaanishi mwanamke hana uhitaji. Infact mwanamke pia anatongoza ila kwa kuonyesha ishara, ni wachache sana wana ujasiri wa kumface mwanaume na kumtakia wazi.

Hicho ndicho ninachoongelea mimi. Mwanaume pia afanye calculation aangalie atapata elevation gani kabla hajaji-commit kwenye mahusiano na mwanamke.

Ni ukweli ulio wazi bila financial security kwa mwanamke hakuna maana ya yeye kuwa kwenye mahusiano.

Mwanamke akiulizwa what do you bring on the table, atakuja na blah blah tu za prayers, advice and peace of mind... Totally bullshit., if her prayers and advice wouldn't be as useless as a used toilet paper she wouldn't be looking for a man to offload her financial responsibilities to.
Hicho unachokiita offloading financial responsibilities sio offloading per se!

Wewe bwana wewe! kwahiyo wanawake wanacholeta mezani ni prayers na advice tu? mbona umechagua vitu vyepesi vyepesi tu? What about sisi tusijua kusali/tusiosali? probably atheists? What about sisi ambao ni naive ambao hatuna chochote cha kumshauri mtu?

Unakwepa kabisa physical +emotional labor mnayowafanyisha wanawake, tena hiyo physical labor inaleta pesa mezani hata kama si kwa kiwango kile ambacho wewe unatoa.

Bana we, if we are speaking about marriage and long- relationships. Hivi vitu brings a shift in responsibility, priorities, identity, and accountability. Hapa ndipo mwanamke anapoanza kulose herself na kujenga himaya yako, ambayo ndani yake naye yumo. Sasa kama mtu huyu ha-deserve elevation then nitaanza kushauri wanawake wakae mbali na mahusiano/ndoa 😂 Kwasababu weeeee! Ungeweza?
 
Uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia

kama urembo wake ndio utakuwa fimbo ya kukunyanyasa kihisia na kukutawala. awe heartless kwako.

STUKA..ni bora ukasaliti hisia zako ili usishikwe masikio..

kindness is the one that makes some one beautiful...UTU wa mtu na utulivu..moyo mwema ..UPENDO wa dhati..heshima..unyenyekevu..feminine...uvumilivu...,God fearing..G(TABIA).
wife material quality..sifa za tabia njema ya kupendeza.

hizi women empowerment..na mfumo jike ..umeondoa sifa njema..umefanya mabinti waote mapembe...na kudharau vijana wa kiume.

imepelekea msichana wa elimu ya juu wa sura nzuri au anayejiweka high class(juu au sawa ya mumewe) na kujiona hawezi kumtii au kuwa chini ya mumewe..imefanya ndoa nyingi kutodumu...au kuwa migogoro.

haya mambo ya women empowerment ndiyo yamesababisha ndoa nyingi kutodumu huko western wameleta na huku afrika..kubdestabilize family units.
kama uzuri wa sura na umbo /urembo wake ndio unamfanye akunyanyase..ni bora usaliti hisia zako utumie akili..uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia njema.
 

Attachments

  • images - 2026-02-21T194951.923.jpeg
    images - 2026-02-21T194951.923.jpeg
    40.9 KB · Views: 3
You nailed iit

I remember old days I met a girl and I told her nimekupenda she said I have my Boy. Nilvyo nikasema poa nikaendelea na mishe zangu after a week she started to check me ananicuunguza Kila nachofanya ALIKUWA ana look zaidi mambo yangu ya starehe na mitoko.


Mara ghafla she started to ask umewahi tembelea nchi ngapi , oh I wonder this poor girl but I cheated in all aspect kifupi she didn't know actual even where ninaishi.


But ghafla anaonbanesa oh nilikuona KWENYE gari unapita nakupungia mkono hata usimami jimekupigia upokei.

I told her sikuona na nilikuwa busy mambo ya simu na gari hapana.

Nikauliza ulitaka kusemaje eti nothing but I was having tumbo problem basi bana nikauliza ulokunywa dawa kaka sema nope sio maumivu ya tumbo sana but it was hamu ya chipsi then I asked her request that chips I pay or my God kumbe inataka pesa TU, wakati nasubiri iagize ILI akija jamaa nilipe bhana kananiangalia TU ikabidi niulize mbona huagizi mpigie simu au si naona hapo jirani TU wanauza kakasema no chipsi nitanunua baadae nipe hela ya chipsi nikajifanya SIJUI Bei eti chipsi inauzwa 20k *****. Nikasema moyoni siwezi FANYA huu ujinga huyu haifai LAKINI nikasema this is a bitch girl and a cheap one.


I gave her 3k and leave her alone.

After that day next day she needed bundles I asked her how much she said 10k , I gave her 5k and the day left like so.


Sasa ikawa mchezo WA kuomba PESA indirect mara Leo sijauza duka Niko hovyo SIJUI nitakulaje.

Nikauliza where is your boykakasema ahah aha nilikuwa nakupima TU nione kama kweli utanipenda.


Niliishiwa pozi

Hapo we did chat via phone I told her I'm sick come here in bar near lodge you get what you need.

Kakasema oh you think am a bitch, I can't get down there. Mimi kukuomba such money MPAKA nije huko hunieshimu Mimi si wadada wa bar.

Nikakaambia siwezi KUKUPA PESA Kila siku alafu nakuita hapa hutaki nikanyuti.

After a day kana nicheki again lanashida nilijua wanawake wengi maslahi mbele wao wanataka utumie wewe ila hawawezI kuhumia wao Kwa ajili yako, a time I squeezed her in a professinal lodge she accept I did my did. Then I eacor her home from there We don't talk again.


That is ELEVATION BRO.
Wanawake wa kisasa wengi wanataka commitment, loyalty na provision kutoka kwa mwanaume halafu katika mahusiano hayo hayo wao wawe wanafanya biashara ya kukuuzia K. Wanawake wa aina hii huwa tuna-deal nao kwa kanuni ya hit and run.
 
Kunawatu mnamuona mwanamke kama kitu cha thamani, mwanamke nini anaoffer,kivip feelings zikuendeshe kwa ajili ya mwanamke??
 
Kunawatu mnamuona mwanamke kama kitu cha thamani, mwanamke nini anaoffer,kivip feelings zikuendeshe kwa ajili ya mwanamke??
Tunaoffer vitu vingi sana kuwa na mwanamke kuna amani hasa kama mwanaume umependwa

Ukiwa na gundu utaona wanawake kama tunaumiza hivi au hatufai ilaukweli sisi ni kiungo.muhimu sana kwenu japo tuna mapungufu yetu
 
Tunaoffer vitu vingi sana kuwa na mwanamke kuna amani hasa kama mwanaume umependwa

Ukiwa na gundu utaona wanawake kama tunaumiza hivi au hatufai ilaukweli sisi ni kiungo.muhimu sana kwenu japo tuna mapungufu yetu
Mwanamke kwangu akiniganda naona kelo,Zaid ananinyima raha,mara akulazimishe kufanya mapenzi wakati hutaki,mara akulaliye ovyo ovyo wakati unastress zako,Mwanamke ni kero tu
 
Tunaoffer vitu vingi sana kuwa na mwanamke kuna amani hasa kama mwanaume umependwa

Ukiwa na gundu utaona wanawake kama tunaumiza hivi au hatufai ilaukweli sisi ni kiungo.muhimu sana kwenu japo tuna mapungufu yetu
Hizi ni intangible contributions. Zimekaa kisiasa sana. Elezeeni tangiable contributions zenu yaani zile ambazo zinaonekana, zinapimika au zinashikika mfano hela, assets, connections n.k
 
Mwanamke kwangu akiniganda naona kelo,Zaid ananinyima raha,mara akulazimishe kufanya mapenzi wakati hutaki,mara akulaliye ovyo ovyo wakati unastress zako,Mwanamke ni kero tu
Kiukweli wanaume na wanawake naturally kila mmoja anamuhitaji mwenzake, ni feminism na hii trend ya relationship commercialization ndio imevuluga ile devine order ya mahusiano ya mwanaume na mwanamke
 
Back
Top Bottom