Elevation

Elevation

Suala la mwanaume na mwanamke kupendana limekaa ki-fantasy zaidi. It's very rare devine connection iwakutanishe watu wawili kwenye hii dunia iliyojaa billions of people. Vilevile upendo sio eternity, kwamba unadumu milele. Kwahiyo ni muhimu kuwasisitiza vijana wapende kwa mkakati kuliko kuwakililisha hekaya za true love, soul mates na fantasy zingine
Mwanamke akikupenda Kuna vitu atafanya ikiwemo sacrifice kwaajili yako hii ipo wazi usibishe cha muhimu sisi wanaume hatupaswi kujitoa kwenye sehemu upewi umuhimu na huyo mwanamke ndipo tunspofeli. Ni rahisi mwanaume kugharamia kwa kiasi kikubwa kisa tu kupata mbususu ndio maana wanakuwa wadhaifu kwa wanawake na thamani yao ushuka.Kuna wanawake ukienda kumtongoza anaweza kukubalia baada ya mwezi sio kwasababu hajakuelewa la hasha ni kujitengenezea thamani hivyo hivyo kwenye kukupa mzigo unaangaishwa mpaka unakuja kupewa mzigo na unaweza kukuta kweli ana nyege lakini atakukazia kiasi ambacho unaweza kujiuliza huyu demu kwani Hana hisia ni kwasababu ya kurise standard usimchulie cheap kitu ambacho kwa upande wetu wanaume tunafeli
 
Mwanamke akikupenda Kuna vitu atafanya ikiwemo sacrifice kwaajili yako hii ipo wazi usibishe cha muhimu sisi wanaume hatupaswi kujitoa kwenye sehemu upewi umuhimu na huyo mwanamke ndipo tunspofeli. Ni rahisi mwanaume kugharamia kwa kiasi kikubwa kisa tu kupata mbususu ndio maana wanakuwa wadhaifu kwa wanawake na thamani yao ushuka.Kuna wanawake ukienda kumtongoza anaweza kukubalia baada ya mwezi sio kwasababu hajakuelewa la hasha ni kujitengenezea thamani hivyo hivyo kwenye kukupa mzigo unaangaishwa mpaka unakuja kupewa mzigo na unaweza kukuta kweli ana nyege lakini atakukazia kiasi ambacho unaweza kujiuliza huyu demu kwani Hana hisia ni kwasababu ya kurise standard usimchulie cheap kitu ambacho kwa upande wetu wanaume tunafeli
Sio sacrifices hizo mzee mwenzangu, ni uwekezaji huo. Ashapiga calculations zake na kujua at the end yeye ndie atanufaika zaidi. Sio vibaya mwanaume kuwekeza pia lakini na wewe piga calculations zako. Adults love with strategy, not fantasy.
 
Sio sacrifices hizo mzee mwenzangu, ni uwekezaji huo. Ashapiga calculations zake na kujua at the end yeye ndie atanufaika zaidi. Sio vibaya mwanaume kuwekeza pia lakini na wewe piga calculations zako. Adults love with strategy, not fantasy.
Hata kama anapiga calculation cha muhimu unafaidika kuna wengine wanagharamia hata boxer yenyewe hajawahi kununuliwa na demu
 
Ndicho ninachoongelea. Kuwe na mutually elevation.
Kuna wakati mwingine sisi wanaume udhaifu wetu ndio unawapa wanawake kiburi unaweza kuwalaumu wanawake lakini wanaume ndio wanayataka yote haya mfano umeshaona kila dalili kuwa hupendwi lakini bado unan'gan'gania hivi ukipigwa tukio utamlaumu huyo mwanamke? Mfano wanaume wengi huwa wanatabia ya kutokujiamini utanguliza sana pesa Kwanza wakati wakuapproach mwanamke utakuja kumpata huyo mwanamke unafikiri mtakuwa na uhusiano wa aina gani? Mimi niliwahi kujiwekea kuwa sitoi pesa yoyote kwa mwanamke labda kama ni voucher nikiona demu ananiomba wakati nipo kwenye process ya kuwa na mahusiano basi sitaweza kuendelea tena nachuja wanawake kwa style hiyo
 
Sijapata neno moja la kiswahili linaweza kuwa na maana mahususi ya neno "elevation". Kwa kingereza tunaweza tukasema "being raised to the higher or more important level or position". Kwa lugha yetu tunaweza kusema kupandishwa kwenda kwenye nafasi ya juu au ya muhimu zaidi.

Elevation, ni moja kati ya neno muhimu sana unatakiwa kuliweka akilini kama unataka kuelewa jinsi mchezo wa mahusiano unavyo-operate. Kupuuzia "elevation" kunawafanya wanaume wengi sana wapigwe na butwaa.

Sasa nataka nikwambie kitu kimoja. Akili ya mwanamke ina neno moja tu - elevation. Utakapoonyesha interest ya kumtaka tayari atakua ashapiga hesabu kama una uwezo wa ku-elevate maisha yake. Kwa mwanamke mahusiano sio feelings exchange tu, ni elevation pia.

Ulikua haujui? Ukifikiri upendo wa mwanamke ni unconditional? Nani alikufundisha hivyo? Kiongozi wako wa dini?. That's the problem, you like listening to fairy stories.

Upendo wa mwanamke kwenye sekta ya mahusiano ni conditional. Labda kama unataka urafiki wa kawaida tu, that can work without conditions.

A woman's mind has no room for sympathy. If you're a man who struggling financially she will not even look your way, unless she assess that your struggle is temporary. She can hang in there with you, it's because she calculate the potential. Although, she can leave if she see no progress.

Tatizo wengi tangu mkiwa wadogo mmekalilishwa blah blah za pure love, sijui soul mates na upumbavu mwingine. Kijana hakuna upuuzi kama huo. Adults love with strategy, not fantasy.

If a woman love with calculated steps, you too should do the same. If she has nothing: no skills, no job, no money, no business, no connections, leave her. A woman cannot tolerate a liability, why should you tolerate it in her.

Don’t be a simp.
Muinuko.
 
Maneno haya yanatoka kwa wanaume ambao wao wenyewe hawana hiyo unconditional love wanavyoidai toka kwa wanawake, ninyi wenyewe huwa mnawapenda wanawake kwa sababu au vigezo maalum tena wengine mnaingia nao kwenye mahusiano, mkiwa hamuwapendi kabisa mnahitaji ngono tu ila mnawadanganya kwamba mnawapenda

Mmefanya wanawake nao wakiingia kwenye mahusiano wakae kwa tahadhari ya kuachwa muda wowote kwa sababu kwanza mmeshajihalalishia kuwa na wanawake wengi, hivyo mwanamke anaingia kwenye mahusiano akijua kabisa hayuko peke yake hivyo muda wowote anaweza kuachwa, sasa mwanamke kama huyu unategemea atawekeza hisia zake kwako naye lazima ataangalia maslahi yake kama ambavyo wewe uko hapo kwa maslahi yako, na hapo bado hatujaongelea wale wanawake ambao wanaanza na wanaume from the scratch halafu wakija kufanikiwa, mwanaume anaanza kumuona siyo type yake tena maana alikuwa naye tu kwa sababu ndiye aliyeweza kumpata akiwa masikini

Kwahivyo akishafanikiwa ataenda sasa kwa wale waliomkataa akiwa masikini huyu waliyeanza naye chini anaachwa kabisa au akibahatika sana basi ataolewa na kubaki na heshima hewa ya kuitwa mke tu, lakini mapenzi na pesa anavyopewa na mumewe ndio kwa kiasi hicho hicho wanachopewa michepuko tena wengine hata hiyo michepuko inawazidi ila mke atadanganywa kwamba yeye ndio anapendwa kisa yeye ndio kaolewa, na hao ndio wanaume wanaosema eti wanataka huruma na mapenzi ya wanawake na wakiyakosa kwa ujinga na ubinafsi wao basi lawama na matusi vinaenda kwa wanawake
 
SIWEZI KUZINI MPAKA YESU ANARUDI

✍️Kwanza kabisa ukiona unaona haya kutamka maneno haya, ujue hiyo dhambi imeanza kukutafuna

Haya Ni Baadhi ya Mambo Yaliyo Nipa Uhakika Kuwa Inawezekana Kuishinda Zinaa na Matendo yake Jumla Kabisa

1.NILIGUNDUA KUWA NINAYE ROHO WA MUNGU NDANI YANGU

Huyu anajitambulisha Kama Roho Mtakatifu, Yani hakuna Namna Yoyote ile Nikaweza Kuwa nae alafu Nikaendelea Kukaa kwenye Uchafu au Zinaa.

Nilipata Uhakika siku Nilipo jiuliza Je Mungu anaweza Kuzini? NIkapata majibu kuwa hawezi Kuzini na akaniaminisha kuwa kwa Kukuwa Anaishi Ndani Yangu Basi Hatuwezi Kuzini maana si Mimi bali Kristo Ndani Yangu,

Warumi 8:11
[11]Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu.

2.NILIGUNDUA KUWA HAKUNA DHAMBI YA BAHATI MBAYA, ZINAA NI JAMBO LA MCHAKATO NA LINA HATUA ZAKE KABISA

Hakuna Dhambi inayotokea kama Tukio tu mara Moja, Dhambi huwa inamchakato wake na Ndivyo Ilivyo zinaa, Mfano

  • Huwa Kuna Mazungumzo,
  • Haiishii hapa Kuna Kuanza Kuitana Majina Yasiyo faa yanayo anza Kuamsha Hisia za Mtu,
  • Baada ya Hapa huwa Kuna Kupanga venue, Yani watu wanaamua Kuchagua eneo gani watakalo enda Kuzini,
  • Na Mungu alivyo Mwema hata kama Mtu hajaokoka huwa kuna ile internal Motive ambayo Itakukumbusha kuwa huko unako enda Kuna jambo baya Linaenda Kutokea,
  • Baada ya Venue kuna Kuanza Kushikana na Hapa bado Unakuta kuna mtu mmoja hashituki (anajipa Moyo kuwa itaishia hapo tuu)
  • Hatimaye Mnakamilisha Zinaa kwa asilimia zote
  • Je Huu Mchakato ni Ghafra au Ulijua Nini Kitatokea?

Yakobo 1:14-15
[14]Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa.
[15]Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti.

Baada ya Kugundua Kuwa Zinaa ni Jambo la Mchakato, Niliapa Kuwa Mtu wa Mipaka na Nidhamu ya Hali ya Juu Kuanzia Kwangu (Sirini) hadi kwa watu wa Jinsia Tofauti ,

1 Yohana 5:18
[18]Twajua ya kuwa kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi; bali yeye aliyezaliwa na Mungu hujilinda, wala yule mwovu hamgusi.

3.NILIAMUA KUTAFUTA KUUJUA UKWELI NA UHALISIA WOTE KUHUSU ZINAA

Usipo Ujua Uhalisa wa zinaa Utaendela Kuitenda Siku kwa Siku.

Kwa Muonekano wa Nje zinaa Imepewa Majina Mazuri mfano PENZI, MAHABA, PUMZIKO, OUTING, REFRESHMENT, ENJOYMENT N.K

ILA KATIKA UHALISA WAKE
  • Zinaa ni Ubaya Mkubwa
  • Zinaa ni Shimo linalozika Hatima
  • Zinaa Inaua Kesho Bora
  • Zinaa ni Mlango wa Kuzimu
  • Zinaa ni Mkataba wa Kumkosa Mungu
  • Zinaa ni Mauti

Mithali 7:17-18,21-22
[17]Nimetia kitanda changu manukato,
Manemane na udi na mdalasini.
[18]Haya, na tushibe upendo hata asubuhi,
Tujifurahishe nafsi zetu kwa mahaba.
[21]Kwa maneno yake mengi na ulaini akamshawishi,Kwa ubembelezi wa midomo yake akamshinda.
[22]Huyo akafuatana naye mara hiyo,
Kama vile ng’ombe aendavyo machinjoni;
Au mpumbavu kuadhibiwa katika pingu;

Mwanzo 39:9
[9]Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu cho chote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe. Nifanyeje UBAYA huu mkubwa nikamkose Mungu?

4.NILIFAHAMU KUWA AKILI NA UWEZO WA KIUNGU WA KUWEZA KUISHINDA DHAMBI NA ZINAA UNALETWA KWA KUAMUA KUJAA NENO LA MUNGU KWA WINGI NDANI YANGU

Kupima Kiwango chako cha akili jipime Kwa haya Mambo Mawili,
  • Kwa Kiasi gani Neno limejaa Ndani Yako,
  • Namna ulivyo weza Kulitumia Neno Kuishinda zinaa Jumla (Kuliingiza Neno kwenye Utendaji),

Zinaa Haijawai Kumshinda Mtu mwenye akili ya Kiungu, Kama Hupendi kuitwa Mjinga amua Kuikataa Zinaa Kwa Kulijaza Neno la Mungu Ndani Yako na Kuanza Kulitumia Mpaka Likupe Ushindi Jumla.

Mithali 7:7
[7]Nikaona katikati ya wajinga,Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili,
(Mithali 7:7-27)

Mithali 6:32-33
[32]Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.
[33]Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;
Wala fedheha yake haitafutika.

Wakolosai 3:16 A
[16]Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote,

Zaburi 119:11
[11]Moyoni mwangu nimeliweka neno lako,
Nisije nikakutenda dhambi.

5.NILIFAHAMU KUWA MAONO NI YA MUHIMU SANA KWANGU NA YATANISAIDIA KUILINDA LEO YANGU KATIKA SAFARI YA KUIENDEA KESHO BORA.

Zinaa Huwezi kuitenganisha na Mtu asiye na Maono, Mtu wa Jumla Jumla, Mtu wa Kwenda Kila Mahali, Mtu wa Kufanya anacho Jiamlia Kufanya, Mtu wa Mikumbo Mikumbo (Gen-z wanasema Vibes)

Bali Ushindi dhidi ya Dhambi zote na zinaa Unahitaji Mtu Mwenye Maono ya Wapi anaenda, Mtu wa Nidhamu Nyingi,
Mtu aliye amua Kuambatana na watu wenye taswira sawa za Kesho zao zenye Utukufu Mwingi.

Ukitaka Kujua Maono ni Ya Muhimu Sana Kasome habari za Daudi, Nikweli aliweka Historia ya kumwangusha Goliathi lakini Kosa la Kukosa Maono Likamfanya aweke historia Nyingine Mbaya ya kuanguka Kwenye Zinaa
(2 Samwel 11:1-4)

Mithali 7:7-12
[7]Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili,
[8]Akipita njiani karibu na pembe yake,
Akiishika njia iendayo nyumbani kwake,
[9]Wakati wa magharibi, wakati wa jioni,
Usiku wa manane, gizani.
[10]Na tazama, mwanamke akamkuta,
Ana mavazi ya kikahaba, mwerevu wa moyo;
[11]Ana kelele, na ukaidi;
Miguu yake haikai nyumbani mwake.
[12]Mara yu katika njia kuu, mara viwanjani, Naye huotea kwenye pembe za kila njia.

Mithali 29:18
[18]Pasipo maono, watu huacha kujizuia;
Bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.

🩸Kama umewahi kuzini na umeshatubu na kurudi mbele za Mungu hakikisha uanvunja mkataba wa kiroho uliokuwa umefanyika kupita lile tendo

HIVYO BASI
"Kwa akiri zangu timamu na Aliyeko Ndani Yangu Bila Kushurutishwa na Yeyote Tunakiri Kuwa Hatuwezi Kuzini Mpaka Yesu anarudi."

✍️Kwa msaada na ushauri 0757801321 (Normal & WhatsApp)

"UNAWEZA KUAMUA KUTOZINI PIA MPAKA YESU ANARUDI"

#MwinjilistiElishaMusa
#UtukufuMkubwaUmekujia
#WeweNiUshuhudaUnaotembea
 
Back
Top Bottom