01 Business Machines Tanzania Limited (BMTL)
02 Pergamon Tanzania Limited
03 Advatech Office Supplies Limited
04 Checknocrats Tanzania Limited
05 Total Fiscal Solution Limited
06 Compulynx Tanzania Limited
Huwezi kuamini hizi mashine wabongo wameanza kuzichakachua, kuna rafiki yangu wakaribu kaniambia baadhi haya makampuni yaliyo pewa hii tena,yana jiusisha na uhalifu wa kuzichakachua hizi machine kwa bei nafuu kabisa na bila TRA kujua lolote linalo endelea kwenye hizo machine zao... Hii ni mbaya sana jamani kwa nini wabongo tuna penda vya bure kiasi hiki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.