min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,594
Mno bwasheeNyi Mnakitu - mtafika mbali.
Mno bwasheeNyi Mnakitu - mtafika mbali.
2500 dunia haitakuwa hivi na inahitaji mawazo mpyaSijui mkuu.
Tukizingatia Black hole ya karibu zaidi (V616 Monocerotis) iko takriban 3,000 light years kutoka Duniani.Mno bwashee
Tutatengeneza zenye speed ya juu kuliko hata mwanga hivyo usijali bwasheeTukizingatia Black hole ya karibu zaidi (V616 Monocerotis) iko takriban 3,000 light years kutoka Dunia.
Na hizi roketi za kisasa - kufika huko itachukua mamilioni ya miaka.
Haziwezi chukua mamilion kufika kwenye blackholes zitachukua mda mfupi nimeshakuambia zitakuwa na speed zaidi ya mwangaTukizingatia Black hole ya karibu zaidi (V616 Monocerotis) iko takriban 3,000 light years kutoka Dunia.
Na hizi roketi za kisasa - kufika huko itachukua mamilioni ya miaka.
Wewe umekaririshwa hivyo kwa hiyo siwezi kukushangaaWe jamaa ni muongo hata electron tu haiwezi safiri kwa speed ya mwanga,ili kitu kisafiri kwa speed ya mwanga lazima kiwe hakina uzito,Leo electrical motor ije izidi speed ya mwanga,we ni kichaa
Tutatengeneza zenye speed ya juu kuliko hata mwanga hivyo usijali bwashee


Kweli inawezekana kama sasa hivi hypotheoritical inasemekana Tachyons zinauwezo wa kusafiri zaidi ya spidi ya mwanga. Hivyo hapo future vitakuwepo vitu vinavyoenda zaidi ya mwangaWewe subiri siku wazungu waseme inawezekana ndo uunge tela
Unafikri mwaka 2200 huko dunia itakuwa sawa nakuhakikishia kutakuwa na law nyingi mpya za physics sababu hizi zilizopo haziko compatible na future
Haya nipe nadharia yako jinsi electrical motor itakuwa na speed zaidi ya mwangaWewe umekaririshwa hivyo kwa hiyo siwezi kukushangaa
Ukiwa na fikra huru utanielewa hamna jambo rahisi alafu sisi waafrika tunapenda mambo marahisi
Mkuu mimi nitafurahi sana kwahilo, nitakua abiria wa kwanza kwenda blackhole.Haziwezi chukua mamilion kufika kwenye blackholes zitachukua mda mfupi nimeshakuambia zitakuwa na speed zaidi ya mwanga
ni sahihi kufikri ila wewe unaenda beyond zaidi unakuwa kama mwenda wazimu afu mbishi ukielekezwa kwamba hicho kitu hakizezekaniExactly
Moja ya mambo ambayo yanaturudisha nyuma waafrika ni kutokuwa na uhuru wa kufikiri
Mzungu amehakikisha yeye anakuwa na uhuru wa kufikiri na kukosea hamna shida., ila amehakikisha mwafrika hana huo uhuru kwa hiyo kila anachoongea mzungu yeye ndo final say mwafrika kazi yake ni kufuata na kuunga tela
Mzungu amejiweka kama hakimu wa kuamua hiki ni uongo au ukweli, mwafrika kazi yake ni mpokeaji hukumu hana say yeyote ile yaani anasubiria muongozo wa wazungu
Ndo maana amehakikisha kama unawazo lako basi ni sharti uchapishe kwenye journal zao ili wao wapitishe waseme ni ukweli au la sasa huo ni utumwa
Yaani ni hivi labda hajakuelewa, yaani Akiiona black hole tu means mwanga umeshamzidi speed before hajaifikia.M = C^2
Ni kwamba mwanga ndio unakufanya uone kitu kwamba kipo pale kwahio wewe ukishakiona tu ni kwamba kimekufikia kwahio ile speed ya kukiona na kukufikia kitu hicho inabidi kiwe hakina uzito wa aina yoyote au utumie mbinu / shortcut au twende kwenye Quantum theory ambapo vitu vinaweza kuwepo sehemu tofauti kwa wakati mmoja... (Ni kwamba Mwanga ni instantaneously
Sauti ni rahisi sana kuizidi ndio maana ukisiona radi (mwanga) ndio baadae unasikia sauti au Ukisikia Paa jua imekukosa aliyelenga hana shabaha au amefanya makosa....
Hio ni impossible,na haipoMkuu mimi nitafurahi sana kwahilo, nitakua abiria wa kwanza kwenda blackhole.
Tatizo lako utafanya ukiwa Raisi na ndio maana unaonekana chizi tuu, anza na project moja hata theory tuu on paper sio kila siku story za kahawaWanasubiria wazungu waseme inawezekana ili waje wawasifie mimi hawanipi shida ndo maana nashare na nyinyi kile nilichokuwa nacho
Anaota ndoto nyevuTatizo lako utafanya ukiwa Raisi na ndio maana unaonekana chizi tuu, anza na project moja hata theory tuu on paper sio kila siku story za kahawa