Electrical Motor ina-speed zaidi ya Mwanga

Electrical Motor ina-speed zaidi ya Mwanga

Mr president maono yako ni makubwa sana kwa nchi. Akili ndogo watabisha kuwa haiwezekani ila sisi wenye Imani kubwa kwako tunakuunga mkono. Na utakaposhika hatamu mimi nikiwa kama katibu wako binafsi nitahakikisha jambo hili na mengi makubwa na mazuri yanatekelezeka.
Tumechelewa sana.
Ukisoma comment utaona mtu anakuja na majibu ya mzungu kubishana na jamaa, na jamaa amekuja kivyavyake sasa wewe waleta ubishi wa mwenzako ambao sio wako na kuufanya uwe wako

D nne huweza linganisha na A+ kwenye ufikiri
 
Ukisoma comment utaona mtu anakuja na majibu ya mzungu kubishana na jamaa, na jamaa amekuja kivyavyake sasa wewe waleta ubishi wa mwenzako ambao sio wako na kuufanya uwe wako

D nne huweza linganisha na A+ kwenye ufikiri
Exactly
Moja ya mambo ambayo yanaturudisha nyuma waafrika ni kutokuwa na uhuru wa kufikiri

Mzungu amehakikisha yeye anakuwa na uhuru wa kufikiri na kukosea hamna shida., ila amehakikisha mwafrika hana huo uhuru kwa hiyo kila anachoongea mzungu yeye ndo final say mwafrika kazi yake ni kufuata na kuunga tela

Mzungu amejiweka kama hakimu wa kuamua hiki ni uongo au ukweli, mwafrika kazi yake ni mpokeaji hukumu hana say yeyote ile yaani anasubiria muongozo wa wazungu

Ndo maana amehakikisha kama unawazo lako basi ni sharti uchapishe kwenye journal zao ili wao wapitishe waseme ni ukweli au la sasa huo ni utumwa
 
Nikiwa Rais wa Tanzania kutatengenezwa electric motor ambazo zitakuwa zina-speed zaidi ya mwanga na zitakuwa zinatumiwa na rockets

Ni ukweli kwamba technology ya sasa ya electric motor haiwezi kufikia speed ya mwanga, as Technology grow nakuhakikishia electric motor ina-uwezo wa kuwa na speed zaidi ya mwanga

Tunafahamua kabla ya hii humanoid project kulikuwa na project iliyotutangulia kwenye hii project walikuwa na technologies kubwa sana moja wapo ni uwezo wa kusafiri kutoka Mercury mpaka Pluto ndani ya mda mfupi

Lengo ni kurudisha hii technologies iliyokuwepo kabla ya humanoid project
View attachment 3366855
Purpose yake ni nn?
 
Nikiwa Rais wa Tanzania kutatengenezwa electric motor ambazo zitakuwa zina-speed zaidi ya mwanga na zitakuwa zinatumiwa na rockets

Ni ukweli kwamba technology ya sasa ya electric motor haiwezi kufikia speed ya mwanga, as Technology grow nakuhakikishia electric motor ina-uwezo wa kuwa na speed zaidi ya mwanga

Tunafahamua kabla ya hii humanoid project kulikuwa na project iliyotutangulia kwenye hii project walikuwa na technologies kubwa sana moja wapo ni uwezo wa kusafiri kutoka Mercury mpaka Pluto ndani ya mda mfupi

Lengo ni kurudisha hii technologies iliyokuwepo kabla ya humanoid project
View attachment 3366855
na friction force utadili nayo vipi?? ko icho chombo kinawezq pita kwa glass bila kukipasua ?? maana mwanga haupasui glass sababu ya speed
 
20250529_075443~2.jpg

Kwahiyo unataka kusema utaivunja kanuni ya physics ya kudai hakuna kitu kinauzidi mwanga speed?

Je kwanini unafikiri unatakiwa kufanya hivyo?
 
Nikiwa Rais wa Tanzania kutatengenezwa electric motor ambazo zitakuwa zina-speed zaidi ya mwanga na zitakuwa zinatumiwa na rockets

Ni ukweli kwamba technology ya sasa ya electric motor haiwezi kufikia speed ya mwanga, as Technology grow nakuhakikishia electric motor ina-uwezo wa kuwa na speed zaidi ya mwanga

Tunafahamua kabla ya hii humanoid project kulikuwa na project iliyotutangulia kwenye hii project walikuwa na technologies kubwa sana moja wapo ni uwezo wa kusafiri kutoka Mercury mpaka Pluto ndani ya mda mfupi

Lengo ni kurudisha hii technologies iliyokuwepo kabla ya humanoid project
View attachment 3366855
Wapi wewe ukikaa tu kwenye chiti cha enzi ndoto zako zote zinayeyuka na tumbo linaanza kukuuliza "boss tunaishije sasa"
 
Sure kabisa wakisema NASA ni rahisi mno sisi kuunga tela, ni kweli si rahisi kwa haraka haraka kuliona hilo kuwezekana ila kila kitu naamini kinawezekana. Wazo zuri
Kukosea hata wazungu wanafeli sana yaani mpaka umeona jambo au bidhaa imefanikiwa nyuma yake kuna trial and errors nyingi

Swali la kujiuliza kwanini wazungu wawe na uhuru wa kufanya jambo, wakafeli, wakafeli, wakafeli na ikawa sawa

Na kwanini waafrika tunaogopa sana kufeli na kumbuka ukiogopa kufeli huwezi jaribu kufanya jambo

Yaani muafrika hata kutoa wazo alafu ikatokea watu karibia wote wakampinga basi ataliacha
 
Back
Top Bottom