Electrical engineers and technicians nendeni kwa Watanzania...

Electrical engineers and technicians nendeni kwa Watanzania...

MORIA

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2011
Posts
706
Reaction score
278
Ninaomba kwa dhati ya moyo wangu wataalam wa umeme Tz (Wanazuoni ktk fani ya umeme) wapenyeze technologia rahisi za ufuaji wa umeme kwa matumizi vijijini,wanaweza kupitia veta or majukwaa huru kama haya...najua kuna ugumu hasa suala la fedha nk. lakini aidea zenu zitatambaa nchi nzima na kuitoa nchi ktk giza nene na umeme ghali.. Tz kwanza asanteni..
 
Ninaomba kwa dhati ya moyo wangu wataalam wa umeme Tz (Wanazuoni ktk fani ya umeme) wapenyeze technologia rahisi za ufuaji wa umeme kwa matumizi vijijini,wanaweza kupitia veta or majukwaa huru kama haya...najua kuna ugumu hasa suala la fedha nk. lakini aidea zenu zitatambaa nchi nzima na kuitoa nchi ktk giza nene na umeme ghali.. Tz kwanza asanteni..
Solar systems, windmills
 
Ninaomba kwa dhati ya moyo wangu wataalam wa umeme Tz (Wanazuoni ktk fani ya umeme) wapenyeze technologia rahisi za ufuaji wa umeme kwa matumizi vijijini,wanaweza kupitia veta or majukwaa huru kama haya...najua kuna ugumu hasa suala la fedha nk. lakini aidea zenu zitatambaa nchi nzima na kuitoa nchi ktk giza nene na umeme ghali.. Tz kwanza asanteni..

Kwa mainjia kte mbali kwa nini TANESCO na hat wizatra ya nishari walitakiwa kuna na vitengo na na Idara za renewarable energy siku nyingi. Una taalama mmoja hapa wa umeme nilishang aliposea eti sio Kaz ya Tanesco.

NIkagundua kumbe TANESCO na wasomi wengi mekariri kuspply umeme wa Kidato mteara na IPTL na Dowans tu . Sasa Mikoa ambayo haina Grid ya Taifa Tanesco wamelala........ kumbe wangeweza kusupply vifaa na kuwaunganisha watu hata umeme wa solar. Au hata kuwa counsulat wa vifaa vya kutoa wa umeme wa vinyesi vya wanyama na wanadamu.......

Tatizo tumekariri na hatuna ubunifu mpaka hilo pendekezo alilete consultant mjapan wa JICA au USAID ndio tanesco wataona ni waz zuri
 
Kwa mainjia kte mbali kwa nini TANESCO na hat wizatra ya nishari walitakiwa kuna na vitengo na na Idara za renewarable energy siku nyingi. Una taalama mmoja hapa wa umeme nilishang aliposea eti sio Kaz ya Tanesco.

NIkagundua kumbe TANESCO na wasomi wengi mekariri kuspply umeme wa Kidato mteara na IPTL na Dowans tu . Sasa Mikoa ambayo haina Grid ya Taifa Tanesco wamelala........ kumbe wangeweza kusupply vifaa na kuwaunganisha watu hata umeme wa solar. Au hata kuwa counsulat wa vifaa vya kutoa wa umeme wa vinyesi vya wanyama na wanadamu.......

Tatizo tumekariri na hatuna ubunifu mpaka hilo pendekezo alilete consultant mjapan wa JICA au USAID ndio tanesco wataona ni waz zuri
Sera za nchi yako unazijua lakini? Tuna hao jamaa wakala wa umeme vijijini ndiyo kazi yao, lakini ukifuatilia ndo utashangaa nchi ilivyooza.
 
Sera za nchi yako unazijua lakini? Tuna hao jamaa wakala wa umeme vijijini ndiyo kazi yao, lakini ukifuatilia ndo utashangaa nchi ilivyooza.

wakala wa umeme vijijini Makao makuu ilala dar. Ofisi ziko mikoani tena mwanza arusha ambao kuna umeme tayari. HUuti Ofisi ya wakala umeme vijiji wilaya ambayo haina umeme.

Sasa tuwaulize hao mainjia wa wakala umeme vijijini ilala au mwanza mjini au Arusha mjini ofisi zao wanafanya nini. Si bora hata wangekuwa na ofisi Kibondo, Kigoma, Mtwara, Bunda Igunga, Rukwa etc.....

Tulitakiwa tuone ofisi moja ya hawa wakala iko sehemu huku ikitumia umemem mbadala kama mfano.

Sasa unakuta Ofisi kama hiyo inajiita ya wakala wa umeme vijijini kwanza iko mjini kati na sio wilayani aafu ina standby genarator ya disel wakati kuna Jua la kumwaga...........
 
Solar systems, windmills

Asante Ngalikihinja solar system hapa kwetu ni ghali ukilinganisha na Kenya...hapo ktk windmills tunaweza kufanya kitu, yaani zikatengenezwa simple electronic circuit na angle za hayo mapangaboy afu hii technology ikasambazwa..wtz ni wepesi wa kucopy fumba fumbua itakuwa imeenea nchi nzima... DIT,MIST,UDSM etc. naamini wanaweza hili kabisa..
 
Kwa mainjia kte mbali kwa nini TANESCO na hat wizatra ya nishari walitakiwa kuna na vitengo na na Idara za renewarable energy siku nyingi. Una taalama mmoja hapa wa umeme nilishang aliposea eti sio Kaz ya Tanesco.

NIkagundua kumbe TANESCO na wasomi wengi mekariri kuspply umeme wa Kidato mteara na IPTL na Dowans tu . Sasa Mikoa ambayo haina Grid ya Taifa Tanesco wamelala........ kumbe wangeweza kusupply vifaa na kuwaunganisha watu hata umeme wa solar. Au hata kuwa counsulat wa vifaa vya kutoa wa umeme wa vinyesi vya wanyama na wanadamu.......

Tatizo tumekariri na hatuna ubunifu mpaka hilo pendekezo alilete consultant mjapan wa JICA au USAID ndio tanesco wataona ni waz zuri

Ni kweli kuna kukariri mambo...tunapeleka umeme sehemu zisizo na uhitaji (siasa) kwa mabilioni, kumbe zingeweza pelekwa generators ndogo na watu wa huko wakalipa tarrif ndogo..
 
Sera za nchi yako unazijua lakini? Tuna hao jamaa wakala wa umeme vijijini ndiyo kazi yao, lakini ukifuatilia ndo utashangaa nchi ilivyooza.

Ndugu yangu hatuna viongozi njii hii...lakini taasisi na mtu mmoja mmoja tunaweza kulifanikisha hili..
 
Umeme ambao ungekuwa ndio mbadala hapa kwetu ni ghali kama kitu cha luxury vile. Wiki iliyopita kuna kampuni moja ya solar ilifanya maadhimisho yake ya miaka 10 pale makumbusho, nilienda nikifikiri kuna nafuu yoyote lakini nilikata tamaa ni ghali kuliko umeme wa tanesco.
Windmills nahisi kama inahitaji mtaji mkubwa, hasa kwa ajili ya haya mapanga boi, sijui.
Kwangu mimi teknolojia rahisi ambayo nafikiri inaweza kuwasaidia watumiaji wadogo wadogo vijijini na hata mjini ni kutumia inverter, hii niliiona hata south. Wale wanaopigisha simu mtaani kwenye vioski vyao wanatumia inverter na kwa kweli wanajikomboa katika kujikimu. DIT, UDSM n.k wakijikita katika kutengeneza inverter wanaweza kusaidia watu wa hali ya chini wengi, sababu unahitaji betri ya gari na inverter ili kuzalisha umeme. Ukubwa wa inverter utategemea na mahitaji ya mtumiaji, kiasi unaweza kukuta hawa jamaa wenye saluni za kunyolea wasingekuwa walalamikia umeme wa tanesco tena na wangeweza kupunguza gharama za uzalishaji.
 
Back
Top Bottom