Ingawa sielewi BAKWATA wanafanya hili kwa faida ya nani!??? Moja ya siku niliyo kwazika ni leo na waislam tumekaa kimya tukiendelea kugawanywa kimafungu katika siku hizi muhimu...
Ndugu wana JF, Eid Mubarak, tuombeane kheri katika siku hii muhimu.nawatakia kila la kheri, mungu atutimize matwaka yetu, atupe Uzima,Afya,Busara ,Maisha Marefu yenye neema.
Ndugu wana JF, Eid Mubarak, tuombeane kheri katika siku hii muhimu.nawatakia kila la kheri, mungu atutimize matwaka yetu, atupe Uzima,Afya,Busara ,Maisha Marefu yenye neema.
mkuu tz wanakula kesho, ila naona hapa mtaani kwangu kuna vikundi vimevalia kanzu na tayari wameshasali sijajua ni kwanini hii kitu ina mgogoro! Eti suni wao wanasali leo!