Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Nilivyolud nikakutana na Room y Negan tukaingia kugusaDuh sasa si ungerudi unitumie request kaka, mi niliendelea na efb league afu kama kawaida JF humu hata mkinimention sipati notification π
Hana speed kakaHatimae wameamua kunipatia hiki kiumbe kutoka Ivory Coast, Physical contact yake+Physical contact ya Gesperin=π₯
View attachment 3315943
Hii wiki ya mazoezi itakuwa nzuri sana.
Kuna zile counter inapigwa mchezaji wako yupo mbele peke akeTimu nyingi kwenye ligi yangu wanatumia QC na LBC unahisi huo muda wa kufanya hivyo unapatikana, ukichezea mpira wakikupora basi unaanza kimbizana nao π.
Nililala kakaTwenzao kaka
Twende weweπ€£Daah nataka nichukue wiki 1 kwaajili ya train, ligi ya kwanza inaweza nikosa.
Huyo ni fox in the box speed ya nini sasa, nyie hangaikeni na mipira mtamkuta juu anawasubiri π.Hana speed kaka
Hapo ndo unamkuta Drogba sasa, vuta picha tupo uwanjani halafu nikapiga zile through π.Kuna zile counter inapigwa mchezaji wako yupo mbele peke ake
Nipo pre season π.Twende weweπ€£
Kuna David villa ni wa moto sijui wata mrudisha lini tenaHatimae wameamua kunipatia hiki kiumbe kutoka Ivory Coast, Physical contact yake+Physical contact ya Gesperin=π₯
View attachment 3315943
Hii wiki ya mazoezi itakuwa nzuri sana.
Tusubiri tuone huenda wakamrudisha.Kuna David villa ni wa moto sijui wata mrudisha lini tena
Sawaa kakaππHuyo ni fox in the box speed ya nini sasa, nyie hangaikeni na mipira mtamkuta juu anawasubiri π.
Subiri nikimaliza pre season nitakualika uje umzuie π.Sawaa kakaππ
Beki zangu fupi zikimshangaa DrogbaHatimae wameamua kunipatia hiki kiumbe kutoka Ivory Coast, Physical contact yake+Physical contact ya Gesperin=π₯
View attachment 3315943
Hii wiki ya mazoezi itakuwa nzuri sana.
Nipo pre season, naifanyia mazoezi pacha ya Torres na Drogba.Beki zangu fupi zikimshangaa DrogbaView attachment 3316102
Nasikiaga mwamba drogba mzito sana. Sijawahi kuona maoni chanya kwa huyu mwamba πNipo pre season, naifanyia mazoezi pacha ya Torres na Drogba.
Dummy runner huyu mbona kuna watu wanasema Dummy runner ni wazuriCard nyingine hii ya kitapeli. Game 150 goal 8π . Buku sita bora ningekula matunda
View attachment 3316335
Unajua kuna watu wanashindwa kuelewa kitu, kuna strikers ambao hawawezi kusimama peke yao kwahiyo kabla hujamtumia angalia card yake.Nasikiaga mwamba drogba mzito sana. Sijawahi kuona maoni chanya kwa huyu mwamba π View attachment 3316318
David villa siyo striker wa kusimama peke yake pia, msimamishe na striker mwingine halafu yeye awe second striker.Card nyingine hii ya kitapeli. Game 150 goal 8π . Buku sita bora ningekula matunda
View attachment 3316335