Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 13,698
- 30,651
Kwamba amekuja bila gadiKandambili1 masta si unajua nimekuinvite kwa ajili ya ligi mkuu?
Kwamba amekuja bila gadiKandambili1 masta si unajua nimekuinvite kwa ajili ya ligi mkuu?
Nipo pale niite Eli Mpanzu Kibisawala,🤣🤣Mda wa ku spin😂
Yeye ni GGR muda wote friend match aaaanhWacha nikutunuku crown la mpenda GGR 😂🔥
Sisi tupo mkuu uwepo wako Pipijojo wetu in Desaal voice umekumbukwaNimewamiss😂😂😂 mnaendeleaje na league? Leo tena nimezungusha hollaaaaa
Lamine beib anagoma kuja CF 🥹
Selikavu
Hamna neno mkuu" mimi bado beginner 😂Jogoo wa Shamba II mkuu jioni tutapanda nyingi
Attacking surge🤠😂🤠😂Sisi tupo mkuu uwepo wako Pipijojo wetu in Desaal voice umekumbukwa
Najua wanangu mmekaaa kungojea atakayesema nimekumic pia🤣🤣🤣ili muwashe moto😃😃jau kwel nyie heartless people 😃😃
Ngoja Lamine atafutiwe position training akae pale CF
Tap tap the screen guys 😂
Alete account nikampe wifi yake wakataptap🤣🤣🤣🤣
Nimelia sanaUmeengoa kwa sauti ungejaribu kupunguza kidogo 😂🤠😂🤠
Kaka niwe mkweli ukijifunza fair play basi utakuwa master ila ukiendelee kufunga midoli isiyokaba basi wee ni noob probonoNawakumbusha tu nina Ronaldo wa 105 kwahiyo kwenye ligi mje polepole hasa Warld Razorblade
😀😀 lbda ndio iwe ww wa kwanzKuna nyakati mnaliwa nyie kimasihara ila mnakuja kuandika mmekula kimasihara
Shikamoo brazaHabari zenu wakuu.
CodeShikamoo braza
Huoni hapo nina tuzo ya fair playKaka niwe mkweli ukijifunza fair play basi utakuwa master ila ukiendelee kufunga midoli isiyokaba basi wee ni noob probono