Aisee huu uzi unavijana wabishi mno hatuwakataz kucheza game lakn hayo magemu ya Kwenye simu yanawatoa akil
Nunua PS4 au PS5 weka ndani cheza online ukipata muda na watu sio kwenye simu ukiwa hauna hela kabsa nunua PS3 cheza online au PC
Huu ushauri wa mwisho