eFootball Special Thread

Namm nliomba jana kwa Selikavu naamini NEGAN atatuelekeza

Nnachojua unatumia das ile inabidi uwe vizuri na haraka kidogo
Skill moves nyingi hazipo effective kwenye pvp sababu ya lag. Skills za muhimu ni "double touch" na "marseille turn". Ku perform hizi skills una bonyeza "dash" kisha kwa haraka unapangusa "joystick" upande unaotaka kwenda kumtoka mpinzani.

Skill ingine effective ni "fake shot" hii inavunja command ya match up ya mpinzani inamfanya mpinzani asiziwie pass au shut8. Ku perform fake shot unabofya shoot kisha kwa haraka unapangusa "joystick" kwenye direction unayotaka kumfinyia mpinzani.

Skill ingine "pass and move" nadhani wengi wanaijua hii.
 
Nashukuru mkuu ....nitazijaribu hizi maana nacheza mpira basic mno
 
Joystick ni ipi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…