eFootball Special Thread

Ulifanya makosa mkuu pale ukifika huko pumzika tu jana nimefika hadi 1797 ila sahizi nipo 1700 sijui narudijw noob mimi nateseka
Kaza vidole๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒme nitalud tuu siku moja nainngia kukamia nalud๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

Ukifika 1797 pumzika cheza hata kesho yake mchana hivi๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒbadilisha na server weke Only nearby area๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Aiseh mkuu Selikavu hii imekaaje nlifika 1788 last game akat naongoza ghafla imestack na kuload mwisho wakaniambia handed lost sababu nimeabonden game
 

Attachments

  • Screenshot_2025-08-27-16-28-53-102_jp.konami.pesam.jpg
    328.5 KB · Views: 10
  • Screenshot_2025-08-27-16-23-52-006_jp.konami.pesam.jpg
    1.5 MB · Views: 6
Kaza vidole๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒme nitalud tuu siku moja nainngia kukamia nalud๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

Ukifika 1797 pumzika cheza hata kesho yake mchana hivi๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒbadilisha na server weke Only nearby area๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Wamenizingua Hawa jamaa nlikuwa tayar nafika dvn 1 aiseh dah
 
Aiseh mkuu Selikavu hii imekaaje nlifika 1788 last game akat naongoza ghafla imestack na kuload mwisho wakaniambia handed lost sababu nimeabonden game
Kuna mahacker pia wanacheza hilo game๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒkuna vitrick wanatumia ukiona hivyo mreport opponent kama unaamini Network yako ni strong...


Japo muda mwingine konami wao ndo wanakuwa wana shida
 
Mtalamu wa michezo achezewa ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Sina uzoefu wa michezo mkuu hahahaha
Kuna mahacker pia wanacheza hilo game๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒkuna vitrick wanatumia ukiona hivyo mreport opponent kama unaamini Network yako ni strong...


Japo muda mwingine konami wao ndo wanakuwa wana shida
Ni noma aiseh nlikuwa naona kabisa badge yangu hahahaha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ