eFootball Special Thread


Kwenye mechi ambazo zilinitesa division ni hii πŸ˜…

Yani jamaa nimeingia ana CF Balle, Vini, Mbappe

Jamaa pasi 2 tayari yupo anakutana na kipa dah basi nikabaki kuwa mbutuaji tu aysee daah mpaka nilijicheka baada ya 1st half.

2nd half nikabadili mfumo kwa vile nilikuwa nabutua mwanzoni nikaotea goli jamaa akaforfeit tu πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…