Nipo mkuu 😂😂😂😂Mkuu
Mkuu mie niliingia kwenye game mapema nikawa namsubiri opponent, nimecheza events mwenyewe nilivyoona naanza kuhisi usingizi nikaweka AI control ili niendelee kusubiri invitation maana muda wote sikuwa namuona online na hapo ndo nilipopitiwa na usingizi mazima 😂😂😂Point haziachwi kizembe umezingua 😂😂
Pole mkuuMkuu mie niliingia kwenye game mapema nikawa namsubiri opponent, nimecheza events mwenyewe nilivyoona naanza kuhisi usingizi nikaweka AI control ili niendelee kusubiri invitation maana muda wote sikuwa namuona online na hapo ndo nilipopitiwa na usingizi mazima 😂😂😂
Shukrani mkuu.Pole mkuu
Mkuu hii ligi tulikuwekq lakin hujatokea hata game mmoja na tunaenda mtoano...Na join vp kwa ligi
Umeweka lugha gani kaka😃😃😃au na wewe ulienda BrazilWarld hauna huruma mkuu point zote ulitaka ubebe😂View attachment 3447470
Kwa mnaojiulizaga Pamela Mamtu imetoka wapi🤣🤣🤣Nimekutumia friend request mkuu.
Ufupisho wa username ni PM.
Iv ww kichwa uliacha kabisa LBC ukanunua Xabi Alonso🤣🤣🤣View attachment 3238887
Japo kwa mbinde sana ila hatimae usajili wangu wa kwanza umekamilika, simu nayotumia inazingua sana aisee.
View attachment 3238889
Nianze kutafuta coins kwaajili ya usajili wa wachezaji sasa.
Back 5 kumbe nilitumia enzi za unoob wangu🤣🤣🤣Mkuu umenipa hoja kubwa sana kuhusu Caicedo...
Huwa nachez ile league ya kawaida nipo nakomaa na top player kwanza maana ndo mara yangu ya kwanza kulicheza nizoe zoe kwanza kabla sijaenda live
Nilicheza kwa professional nikachukua league nimekuja kuanza na top player nikamaliza league wa tano shida kubwa ilikuwa nikija kushambuliwa ni kufungwa tuu ikabid nishift kwenda mabek watano ndo kidogo imekuwa ahuen nimecheza mechi 7 nikashinda zote nikaona shida namba sita alikuwa ni Kama Attacking midfielder
Hii akili ya Rodri umenipa ngoja nikamnunue na pep guardiola nilipe tu hiyo afu mbili yao kwa tigo pesa
Mbappe watanipa kesho nitakuwa naye japo huwa napenda striker mrefu ndo maana nikamnunua haalandView attachment 3239008
We jamaa livivu sana seriously ukawa unanishauri nitumie Auto pick🤣🤣🤣Ushauri wa ziada atumie autopick playars hii inasaidia kupanga kikosi kulingana na formation pamoja na playstyle unayotumia.
Ila na mimi nilikuwa Noob kwel kwel 🤣🤣🤣Hii nilikuwa sijui nimeona kumbe kuna game unafungwa kisa wachezaji hawakuwa form
Mkuu nataka nimchukue Joshua Kimmich kama Another Dm vip anaweza akawa Anchorman au nae ni box to box Dm...??
Ulikuja na mbwembwe🤣🤣🤣🤣Kuna anaejiweza humu ?🥴😁
Yapata miezi sita sasa mtu anajipanga kwa ajili ya kisasi😃😃😃
Dadeki😹😹Kwakua leo hakuna fixture muende kuisoma Familia ya Mr Devil
😃😃😃😃
Devil’s family(familia ya mashetani) 01
Devil’s family(familia ya mashetani) 01 angalizo: kama upo chini ya umri wa miaka 18. Tafadhali usisome hii hadithi. Kila kilicho andikwa katika hadithi hii ni utunzi hakiendani na kisa chochote kilicho wahi kutokea mahala popote asante...www.jamiiforums.com